Strong Side
Senior Member
- Sep 17, 2019
- 186
- 302
Wazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni
Haya malizia basi. Ofisi ziko wapiiKuna makampuni ya usafirishaji unafuu unategemea na ukubwa wa mzigo.
Kuna abood wana gharama nafuu hasa kwa mizigo midogo midogo.Haya malizia basi. Ofisi ziko wapii
🙏🙏🙏Kuna abood wana gharama nafuu hasa kwa mizigo midogo midogo.
Kwa mizigo mikubwa Mpaji Mungu tusaidie makampuni.
Weka tunufaike mkuu🙏🙏🙏
Kariakoo Kuna transporter zinapeleka mizigo nzima na mataifa jirani kama Kenya, Congo, Zambia, Zimbabwe na Malawi
Unafuu inategemea na mzigo wenyewe kama
Kama Kuna mtu yeyote ana uhitaji wa kujua transporter ya mkoani kwani anicheki au areply kupitia hapa ntampa maelekezo ya ilipo na mawasiliano yao
Taja mkoa na wilaya uliyopo nikuelekeze transporter Yako ipo maeneo gnWeka tunufaike mkuu
Atafanya hvyo mleta madaTaja mkoa na wilaya uliyopo nikuelekeze transporter Yako ipo maeneo gn
OkyAtafanya hvyo mleta mada
Nipo Singida Mjini hapa mkuuTaja mkoa na wilaya uliyopo nikuelekeze transporter Yako ipo maeneo gn
Shukrani sana mkuuStrong Side ukiwa na mzigo nenda msikiti wa makonde kama unaenda fire ndio kwenye transporter nyingi za mabasi kama kidia one, happy nation, maning nice, majinja, zuber nk na malori na kama unataka abood nenda mkabala na jengo la simba club (ABOOD wana huduma ya mtu kulipia mzigo akiupokea) pia kuna cargo kibao jangwani
Tunahusika pia na usafirishaji wa mizigo na vifurushi kutoka dar kwenda mikoa mbali mbali karibuni sanaWazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni
Taja mkoa na wilaya uliyopo nikuelekeze transporter Yako ipo maeneo gn
Mkuu hyo ni Iringa au njombe🤔Mafinga na Makambako
Mughuna transporterNipo Singida Mjini hapa mkuu