Ooh unadhani natania? Ngoja aje
SawaWacha nimsubiri![]()
MtafuteHalafu mi uwa namuwazia tuu huyo aliye naye saa hizi nahisi atakuwa ana pata raha kweli

mawifi zangu wa sasa ni wa ovyoovyo tuNakumbuka kaka angu alipataga msichana mmoja hivi walikua wanasoma wote A level..yule dada jamani alikua mpole mwenye huruma weekend anakuja home atafanya usafi chumba cha kaka atafua nguo tena alikua anaomba hadi za Mama..usiombe ifike birthday ya bro Dada alikua anajitoa acha..kaka akiumwa sasa anavyohangaika yule dada mhh..
Kimbembe kikawa kwa Mama alikua hampendi yule msichana uwiii..na yule msichana alikua anajua hapendwi na Mama lakini hakujali ilo
Mwisho wa siku ilibidi tu waachane..mawifi zangu wa sasa ni wa ovyoovyo tu
ndio inavokuwaga sku zoteHahahaaMi ndomana mama angu akisemaga kila kitu anajua huwa namjibu#mbona computer hujui kutumia simu yenyewe nakufundisha mi kutumia huku nakufokea afu unajidai unajua kila kitu#ni kweli sisi wanadam huwa tunaona wazazi hawakosei lakini tukumbuke wale ni binadam tu wanakosea!shida inakuja tu pale asipokupa baraka zake katika jambo flani sbb ya ukin'ga'ganizi wako basi hapo litakuharibikia mbeleni ili tu aje akwambie si nilikuonya!I WARNED U
Hamkumbukagi hata kidogo na vilevile kabila la yule dada Mama hakubaliani nalo..iyo pia ilikua sababu ya kumchukia![]()
![]()
![]()
ndio inavokuwaga sku zote
Mkataa pema pabaya panamuita
Kwa hiyo mama huwa hamkumbuki kiaina na yeye?
Duh! Pole sanaJuhudi za kumpata zilishindikana