Huwa Sipati Jibu

Huwa Sipati Jibu

kwan shida iko wapi kama una nafasi kwenye moyo wako wa kupenda tena mtafute urudishe majeshi ikishindkana mfanye mpenzi mtazamaji tu
 
Hapo tu kwenye kumuita mama yako dikteta uchwara NDIYO umenikosha sana. Ungekuwa karibu HAPA ninge kuagizia Kitwanga tatu za baridi
 
Mzaz ni chanzo cha matokeo mabaya na mazuri kwa mtoto., kwa upande wa matokeo mazuri wanapatia asilimia chache sana thus kuwa na maamuzi magumu yenye msimamo wa hatar ili kulinda thaman yako., Aya Sasa utakuta yeye kalipenda poyoyo ambalo kenye hesabu zako hata kwa asilimia -0.000000000000001 huja wahi mfikilia
Yaani ndio wazazi wetu hao, kwenye maamuzi yako lazima na yeye ahusike
 
Mwenyewe kasema "au ndo mipango ya huyo wanayemuita Mungu" it means hamjui hata huyo Mungu mwenyewe ni kuimbe wa aina ggani.
Ki ukweli Mambo ya Mungu ni subjective mkuu.
Ila mi ni mtu poa tuu
 
kwan shida iko wapi kama una nafasi kwenye moyo wako wa kupenda tena mtafute urudishe majeshi ikishindkana mfanye mpenzi mtazamaji tu
Hahaha
Nilipoteza mawasiliani yake kuna ndugu yake nilikuwa namfahamu ila alihamia mwanza ndo naendelea kumsaka
 
Hapo tu kwenye kumuita mama yako dikteta uchwara NDIYO umenikosha sana. Ungekuwa karibu HAPA ninge kuagizia Kitwanga tatu za baridi
Hahaha
Wala sikuwa na maana mbaya lakini
 
Back
Top Bottom