Papaa Tony
Member
- Aug 21, 2013
- 65
- 48
Mwenyewe kasema "au ndo mipango ya huyo wanayemuita Mungu" it means hamjui hata huyo Mungu mwenyewe ni kuimbe wa aina ggani.Nenda kamtake radhi mama yako kwa kumuita dikteta uchwara,Mungu anakuona na hizo zarau zako

