FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Mimi ninavoona labda wanajeshi wao ni watu wa kufata AMRI tu na si vinginevyo. Yeye Mh kama mkuu akitoa amri wao wanatekeleza.
Tukumbuke kuwa wanajeshi wana nidhamu ya hali ya juu sana katika kutekeleza maagizo na kufata Time hakuna lele mama.
Yote hao ni kichocheo cha wao kuchaguliwa.
Kuna yule Mjeda mwingine wa Bukoba kule Aliyewachapa Walimu Bakora....baadae akatimuliwa na JK.....Asee hawa wajeda noma!!
Mimi ninavoona labda wanajeshi wao ni watu wa kufata AMRI tu na si vinginevyo. Yeye Mh kama mkuu akitoa amri wao wanatekeleza.
Tukumbuke kuwa wanajeshi wana nidhamu ya hali ya juu sana katika kutekeleza maagizo na kufata Time hakuna lele mama.
Yote hao ni kichocheo cha wao kuchaguliwa.
Nakumbuka Mkuchika alipo kuwa mkoa wa Tanga, Hahahaa!! Ilibidi asingizie watu wanamroga wakati madudu yalikuwa hayapandi kumkichwa..Mtumeeeeeh!!! Nchi yetu bana..Kila kitu kinawezekana..!
mtu mzima utetezi ulikuwa wa kitoto mno huo khaaa!!! siangewaloga na yeye!!!
Mimi nadhani hakuna tatizo lolote kwa Rais kuteua wanajeshi kushika madaraka yoyote katika nchi isipokuwa kama kufanya hivyo anakuwa amevunja sheria.
Wanajeshi (kama wananchi wengine wowote) wanayo haki ya kushiriki katika shughuli zozote ambazo wanaonekana kuweza kushiriki. Uwezo wao, nidhamu yao na hata mapenzi tu ya Rais yanatosha kuwa sababu ya kutosha kuhalalisha uteuzi wao.
Sioni sababu kwa kweli ya kufikiri wanajeshi hawana haki ya kuteuliwa kushika nafasi wanazoteuliwa kuzishika. Kwani kwa kuwabagua kwa namna hiyo, tunaweza kuanzisha matabaka ya wenye haki na wasio na haki ya kushika madaraka mbalimbali katika nchi.
Nadhani swali la muhimu ni kwanini wasiteuliwe kushika madaraka hayo, wakati wengine huteuliwa kwenye nafasi hizo?
Mimi nadhani hakuna tatizo lolote kwa Rais kuteua wanajeshi kushika madaraka yoyote katika nchi isipokuwa kama kufanya hivyo anakuwa amevunja sheria.
Wanajeshi (kama wananchi wengine wowote) wanayo haki ya kushiriki katika shughuli zozote ambazo wanaonekana kuweza kushiriki. Uwezo wao, nidhamu yao na hata mapenzi tu ya Rais yanatosha kuwa sababu ya kutosha kuhalalisha uteuzi wao.
Sioni sababu kwa kweli ya kufikiri wanajeshi hawana haki ya kuteuliwa kushika nafasi wanazoteuliwa kuzishika. Kwani kwa kuwabagua kwa namna hiyo, tunaweza kuanzisha matabaka ya wenye haki na wasio na haki ya kushika madaraka mbalimbali katika nchi.
Nadhani swali la muhimu ni kwanini wasiteuliwe kushika madaraka hayo, wakati wengine huteuliwa kwenye nafasi hizo?
zipo kazi wapasazo kupewa wanajeshi pindi wanapostaafu,mfano kuwa attached katika projects za serikali kutokana na fani zao,kuwa kwenye mabaraza ya usuluhishi, kupewa mashamba wafanye kilimo bora,kutoa mafunzo kwa jamii kutokana na fani zao (hata vyuoni ikiwezekana).ujue wao issue ya maendeleo hawaijui,waweza hata angalia vifaa vyao jeshini no changes,amri ni amri tu no change,kupiga kupiga tu no change,so ukuu wa wilaya mikoa unahitaji multidimensinal thinking and experience,hii ni siasa,wajeshi sio sahihi hata kidogo.na hawa watu multdim wapo sana nchini mwetu raisi awatumie hao,tabu ni kuwa hivi vyeo vimekuwa vya kupoozana na kufadhiliana ndo tabu inapoanzia!kwa tz si rahisi kuorganise chaos i can see!!
jishughulishe kidogo tu wa huhitaji kuchosha akili, anagalia mikoa/wilay azinazoongozwa na hao wageshi wastaafu afu ufanye tathmini...
Kwa Kanali Mstaafu aliyeamuru walimu watoto wacharazwe bakora? Au jimboni kwa Katibu Mwenezi mwenye kofia 3?
Nimejaribu kujiuliza lihi swali kila wakati bila kupata majibu yaliyo sahihi , Huwa najiuliza Rais wetu aliwaza nini au huwa anawaza nini pale ambapo huwa teuwa wana jeshi wastaafu kuwa wa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ?
Labda kwa ufahamu wangu mdogo mnaweza kunisaidia katika kupata majibu yaliyo sahihi.Tukizingatia pia kwamba wapo pia Vijana wengi wasomi wenye kuijua siasa na wenye uwezo wa kuongoza nchi ndani ya Tanzania wanaishio bila ajira .
Je ni yapi basi mafanikio ambayo tumeyaona yameletwa na viongozi hao shupavu kutoka majeshini ? Na je kuna ukaribu gani ktk ya waheshimiwa hao na wananchi wa kawaida wa kule Geita ama wa Kule Newara mkoani Mtwara ?
Nimejaribu kutazama baadhi ya posts ambazo zimekuwa zikizungumzia maeneo mbali mbali yenye matatizo ya kimaendeleo nikagundua kwamba ukiyafuatilia kwa ukaribu maeneo hayo utaambiwa mbunge wao ni mwana jeshi au mkuu wa wilaya pale ni mwana jeshi au hata Mkuu wa mkoa.
Swali langu ni Je Rais huwa ana jaribu kufikiri nini katika kuwa Teuwa wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa wana jeshi ?
Mkuu Hakuna lele mama katika mazingira gani ? Ya ukuu wa Wilaya au Ukuu wa Mikoa ? Hebu nifafanulie kidogo.
NNali hakuwa mwanajeshi. Fuatilia vyombo vya habari huko Bongo.Kwa Kanali Mstaafu aliyeamuru walimu watoto wacharazwe bakora? Au jimboni kwa Katibu Mwenezi mwenye kofia 3?