Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,535
- 8,620
Nguruwe kuzaliwa kwenye zizi la ngombe hakumfanyi kuwa Ngo'mbe...
Huyu ni MnyaRwanda tuuu
maneno yake si mabaya saa zingine lakini awe na adabu na akae on the line akiandika hizi articles zake
Baada ya muda ukiwaangalia wanaonekana kama vile wamekwisha kusahau kauli-mbiu ya mwaka jana na sasa wanazindua nyingine.
Asipofanya hivyo, na akizidi kung'ang'ania kwamba uongozi wake hauna ubia, mtawala huyo anajidanganya, na wanaomwangalia na kumsikiliza watagundua baada ya muda si mrefu kwamba anao wabia ambao inamuwia vigumu kuwatangaza.
Kinyume cha hilo ni nini? Iko mifano lukuki, lakini mmoja ni wa hivi karibuni na unahusu maneno yaliyojaa masikioni hata wakati nikiandika makala hii. Imezinduliwa kampeni kubwa, na yenye kelele nyingi, inayoitwa 'Kilimo Kwanza.' Lengo lake la jumla ni kutoa kipaumbele kwa kilimo, ambalo ni jambo jema na sahihi.
Nguruwe kuzaliwa kwenye zizi la ngombe hakumfanyi kuwa Ngo'mbe...
Huyu ni MnyaRwanda tuuu
maneno yake si mabaya saa zingine lakini awe na adabu na akae on the line akiandika hizi articles zake
KAAZI KWERIKWERI,hivi anachofanya niuchochezi ee,watanzania tutapigwa romance ya bongo zetu miaka na miaka,na romance mliyopigwa kina malyamungu naona na denda ushaliwa,ulichobakiza ni kulaza shingo kwanye bega la mafisadi huku mikono ikiwa inapapasa makalio yako.
hivi kweli hatuoni,kusikia hata harufu halisia,au?hata mkuu wa nchi anakiri i expected tumsaidie kujenga nchi weye waja na injili ya personalization
Realy? Any justification? Au ufafanuzi wa U-nyaruwada wake na sio Mtanzania?
Akae kwenye line..? What xcly that z supoz to imply?
Karibu mkuu utuweke sawa!
Huna akili wewe huwezi elewa, hivi una ID ngapi hapa JF hahahaha
Kulea kifisadi ni kumlipia mtoto school fees shule ya bei mbaya kwa mihela ya ungivi,kumnunulia mtoto wa miaka mitano blackberry kwa mihela ya ungivi,midoli na migemu ya TV unanunua kwa mihela ya ungivi na mwisho hilo liharusi lake unalifungia Mlimani City ukumbi tu dola elfu kumi , keki dola elfu moja na shampeni dola mia tano,fungate Zamani Kempinsik (wapajua yakhe?) na vyote unalipia kwa mihela ya ungivi,upo hapo mtaaalam? Thats what Jenerali meant na huko ndo ' kula ukatapikia viatu'!!!Sasa "kulelewa kifisadi" na "kuozeshwa kifisadi" ndiyo kupi huko"?
Nguruwe kuzaliwa kwenye zizi la ngombe hakumfanyi kuwa Ngo'mbe...
Huyu ni MnyaRwanda tuuu
maneno yake si mabaya saa zingine lakini awe na adabu na akae on the line akiandika hizi articles zake