namkubali sana ulimwengu, lakini huwa natatizwa naye anapokuwa kigeugeu. kwa waliomsoma kipindi kile katika rai, baada ya kikwete kuingia madarakani, wataona kama nyoka anayefahamu mambo mengi sana, lakini asiyejua ashikilie lipi moja. yafuteni makala ya jina la BARUA KWA KIKWETE. HATA HIVYO NINGEPENDA KUMSIKIA ULIMWENGU AKICHAGUA NJIA NYINGINE YA KUFIKISHA UJUMBE KWA WANACHI WENGI ZAIDI, HATA KWA KUTOA MIHADHARA SEHEMU MABALIMBALI AMBAPO NAAMINI UDHAMINI WA KUFANYA SHUGHULI HIUO UPO WA KUTOSHA ,KULIKO GAZETI AMBAZO RICH YAKE SIYO KUBWA SANA.