Mtuache
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 260
- 707
Habari wana JF
Kuna nyimbo fulani nimesahau jina na mwanamziki pia. Ni ya zamani ila sio sana nakumbuka baadhi ya maneno, nitayaandika hapa chini
Maneno nitakayoandika ameimba mwanaume (mbaba mtu mzima) ila anaeitikia ni mwanamke (mmama mtu mzima pia)
Mwenye atakewezea kuutambua naomba aniambie: nitashukuru sana
¶Nipeleke nipeleke Mwanza
¶Mwanza sehemu gani
¶Mwanza pale misungwi
¶Unakwenda kumuona nani
¶Nakwenda kumuona Mama
¶Atakupa zawadi gani
¶SATO NA SANGARA
Kuna nyimbo fulani nimesahau jina na mwanamziki pia. Ni ya zamani ila sio sana nakumbuka baadhi ya maneno, nitayaandika hapa chini
Maneno nitakayoandika ameimba mwanaume (mbaba mtu mzima) ila anaeitikia ni mwanamke (mmama mtu mzima pia)
Mwenye atakewezea kuutambua naomba aniambie: nitashukuru sana
¶Nipeleke nipeleke Mwanza
¶Mwanza sehemu gani
¶Mwanza pale misungwi
¶Unakwenda kumuona nani
¶Nakwenda kumuona Mama
¶Atakupa zawadi gani
¶SATO NA SANGARA