BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,682
- 3,392
- Thread starter
- #21
Kama ndo wanatafuta pesa kwa nguvu basi hawatozipata maana kqa hali ilivyo ni bora hizo pesa tujichange tununue Solar walau tipate mwanga maana hatuna matumizi makubwa.Mkuu wanatafuta pesa za kujenga jengo jipya!! Hizo lawama zako ungezipeleka kwa alietoa amri ya kuwabomolea pale