Huu utabiri wa Sheikh Yahya utatimia?

Huu utabiri wa Sheikh Yahya utatimia?

Royal Son

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2016
Posts
1,467
Reaction score
2,760
HUU UTABIRI WA SHEIKH WETU UTATIMIA KWA HALI YA KISIASA YA SASA AU NDIO MASWALA YA IMANI
IMG_20250806_124642.jpg
 
I learned long ago that risking your life for Tanzanians isn’t worth it — they won’t do the same for you.
 
HUU UTABIRI WA SHEIKH WETU UTATIMIA KWA HALI YA KISIASA YA SASA AU NDIO MASWALA YA IMANI
Haki haiombwi, Usibaki nyumbani tafadhali. Jukumu la kuufurusha utawala wa IMLA/MKONO WA CHUMA liko mkononi mwako. #WananchiWenyeNchi #NguvuYaUmma #KataaWahuni
noReformsNoElection.PNG
 
Haki haiombwi, Usibaki nyumbani tafadhali. Jukumu la kuufurusha utawala wa IMLA/MKONO WA CHUMA liko mkononi mwako. #WananchiWenyeNchi #NguvuYaUmma #KataaWahuni
View attachment 3433584
Aaah thubutuuuu, nani wa kuandamana? Mmeshindwa kuandamana kwenye mambo ya msingi, mnataka kuandamana kupigania ulaji sio?
 
Aaah thubutuuuu, nani wa kuandamana? Mmeshindwa kuandamana kwenye mambo ya msingi, mnataka kuandamana kupigania ulaji sio?
Mafwele, kila jambo na wakati wake, wewe endelea kupigania ugali wako. Sisi tutaandamana kupinga ulaji wa hizi familia
kikwete.jpg
GxQFf25XEAEk3Fo.jpg
Wahuni.PNG
 
HUU UTABIRI WA SHEIKH WETU UTATIMIA KWA HALI YA KISIASA YA SASA AU NDIO MASWALA YA IMANI
2030 wapinzania kama wataanza kujipanga kuanzia sasa wanaweza kufanikisha maana kutoka 2026-2030 nchi itaingia ktk ufisadi ya kupindukia.
 
Uhakika. Maneno ya mzee bado yanaishi hadi jambo litimie.

R.i.p
 
Back
Top Bottom