minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
TAKUKURU wako wapi kuchunguza mwaliko huu, kwani baadhi ya wasanii wana T-shirts za kampeni. Je, kampeni zimeanza? Kule wabunge wanatoa vyerehani kwenye majimbo yao na kufuatiliwa na TAKUKURU, sasa huku JK anatoa misosi kwa wasanii, je sio sahihi kwa TAKUKURU kumshughulia huyu bwana?!!
walikuwa kwenye kampeni ya ndani ya kumpitisha mh. kikwete