Huu ushirikina huu...!

Huu ushirikina huu...!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,959
Reaction score
828,674
7d789733030abe72ff81846502aad34a.jpg
 
Aiseeh na maana au tafsiri yake ni nini? Tena kuku mwenyewe anaonekana yuko ndani maana hapo aidha ni tiles au kapeti
 
Kha!kha!kha!,Hii inanikumbusha siku moja nikiwa Ngara, Mwanamke mmoja mzuri,alivua nguo kiutani utani akaanza kutembea barabarani akiwa uchi wa mnyama.Yaani akina mama watu wazima waliona aibu Sana.
Alirogwa huyo
 
Bandiko la hizi picha lilifungiwa Jana
Haya mambo magumu sana.
Walimzmdhulumu mtu mazao yake baada ya kumkodishia shamba,wakaja kumruka kuwa hawakumkodishia.
Jamaa naona kawazidi maarifa upande mwingine,hapo wanahenyeka hawajui chochote.
 
Back
Top Bottom