joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
- Thread starter
- #21
Punguzeni ukabila, wajinga Sana ninyi. Katika Karne hii bado Kuna wapuuzi wanazungumzia ukabila, stupidChapa kazi kwa nguvu na upige hesabu zako kwa ujanja, ili nawe uwe mmiliki wa vitu vya maana. Sio unakesha tu humu ukijivunia kumiliki akaunti ya JF.