Huu unaweza kuwa ugonjwa gani?

kwisha

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
1,666
4,365
Nina tatizo la kupata maumivu makali tumboni au nikila chakula chochote chenye sukari, ugali, au nikinywa pombe, nikibana mkojo kwa dakika kadhaa.

Na maumivu haya yanatokea chini ya kifua halafu yanashuka mpaka kwenye sehemu zangu za siri, na yakishuka kuna muda nashindwa kutembea kabisa, maana nahisi kama kuna mtu ananikata kata tumboni kwangu na kisu au kiwembe, halafu yanakuja na kuondoka hayachukuwi hata dakika 10.

Ila yakiondoka ninabaki nina legea kinoma. Nilikwenda hospitalini walinicheki wakasema nipo sawa sina tatizo lolote tumboni, eti hali kama hii inampata kila mwanaume. Je, ni kweli au wananidanganya?

Na anayejua dawa ya ugonjwa naomba anisaidie, maana unanitesa saana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina tatizo la kupata maumivu makali tumboni au nikila chakula chochote chenye sukari, ugali, au nikinywa pombe, nikibana mkojo kwa dakika kadhaa.

Na maumivu haya yanatokea chini ya kifua halafu yanashuka mpaka kwenye sehemu zangu za siri, na yakishuka kuna muda nashindwa kutembea kabisa, maana nahisi kama kuna mtu ananikata kata tumboni kwangu na kisu au kiwembe, halafu yanakuja na kuondoka hayachukuwi hata dakika 10.

Ila yakiondoka ninabaki nina legea kinoma. Nilikwenda hospitalini walinicheki wakasema nipo sawa sina tatizo lolote tumboni, eti hali kama hii inampata kila mwanaume. Je, ni kweli au wananidanganya?

Na anayejua dawa ya ugonjwa naomba anisaidie, maana unanitesa saana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una vituko wewe
 
Hivi mkuu samahni hv vitu vinakupata kweLi au unachangamsha genge maana kila siku una patwa na hili mara lile inawezekana ukawa unasema kitu cha kweli na unahitaj msaada lakini watu wakapotezea kutokana na thread zako nyingi ni za masihara
 
Nina tatizo la kupata maumivu makali tumboni au nikila chakula chochote chenye sukari, ugali, au nikinywa pombe, nikibana mkojo kwa dakika kadhaa.

Na maumivu haya yanatokea chini ya kifua halafu yanashuka mpaka kwenye sehemu zangu za siri, na yakishuka kuna muda nashindwa kutembea kabisa, maana nahisi kama kuna mtu ananikata kata tumboni kwangu na kisu au kiwembe, halafu yanakuja na kuondoka hayachukuwi hata dakika 10.

Ila yakiondoka ninabaki nina legea kinoma. Nilikwenda hospitalini walinicheki wakasema nipo sawa sina tatizo lolote tumboni, eti hali kama hii inampata kila mwanaume. Je, ni kweli au wananidanganya?

Na anayejua dawa ya ugonjwa naomba anisaidie, maana unanitesa saana.

Sent using Jamii Forums mobile app
itakua ngumu kukusaidia wakati ulikwenda hospitali wameshindwa. Kwanza Nakushauri utafuta hospitali yenye ubobevu ya magonjwa ya mfumo wa chakula ili upate vipimo sahihi. Ukija na jina la homa unaosumbuliwa inakua rahisi kukupa usaidizi. Lasivyo urudi kwa muumba mbingu na Ardhi akupatie ghatima njema
 
Nina tatizo la kupata maumivu makali tumboni au nikila chakula chochote chenye sukari, ugali, au nikinywa pombe, nikibana mkojo kwa dakika kadhaa.

Na maumivu haya yanatokea chini ya kifua halafu yanashuka mpaka kwenye sehemu zangu za siri, na yakishuka kuna muda nashindwa kutembea kabisa, maana nahisi kama kuna mtu ananikata kata tumboni kwangu na kisu au kiwembe, halafu yanakuja na kuondoka hayachukuwi hata dakika 10.

Ila yakiondoka ninabaki nina legea kinoma. Nilikwenda hospitalini walinicheki wakasema nipo sawa sina tatizo lolote tumboni, eti hali kama hii inampata kila mwanaume. Je, ni kweli au wananidanganya?

Na anayejua dawa ya ugonjwa naomba anisaidie, maana unanitesa saana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwa kuumwa.
Ningependa kufahamu:

1: Umekuwa na tatizo hili kwa muda gani?

2: Matumizi yako ya vyakula vyenye kuleta muwashawasha kama pilipili na tangawizi?

3: Upataji wako wa choo ukoje?

4: Kabla ya hali hii kama ulipata mafua au kikohozi?

5: Ratiba yako ya upataji mlo wa kila siku unazingatiwa kwa kiasi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom