Bila kubebwa na wajuzi wa kutoa hoja....kwenye kampeni Lowasa atakua kituko.....jamaa hawezi kabisa kutoa hoja...
Tukisema huyu mtu ana tamaa na madaraka tu na wala hana ahadi za wananchi,watu watanuna,lakini huyu mzee ile ngozi ya kondoo aliyo vaa miaka yote,imechakaa tunaona madoa doa ya chui sasa
uchu wa madaraka tu, sijui ikulu kuna nini. sana sana ataiba ili alipe fadhila kwa matajiri. Watanzania tuamke, kamwe amaetumia mbinu na nguvu nyingi kuingia ikulu ni wa kuogopwa kama ukoma
Jibu hoja zake,pumba hazisaidii.Watu wanahama makabila sembuse chama.Kwani CCM mama yake
Kama inakuuma ichomoe mkuu. Lawassa ni habari nyingineHaya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?
Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.
Mkuu watu wengine kwa sababu ya ufukara wa akili ccm ishakuwa kabila laoWatu wanahama dini seuse chama Mwenye nacho J.K.Nyerere alishawaambia ccm sio baba wala mamake mkiendelea kum.boa amgehama chama na nina imani hadi leo angalikuwepo angekuwa na kadi ya c.d.m siku nyiingii.
uchu wa madaraka tu, sijui ikulu kuna nini. sana sana ataiba ili alipe fadhila kwa matajiri. Watanzania tuamke, kamwe amaetumia mbinu na nguvu nyingi kuingia ikulu ni wa kuogopwa kama ukoma
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?
Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.
CCM mpo madarakani 50 years now still na bado mpo tayari hata kuua,mitandaoni humu mnaingia kwa shift kuchafua watu na kupiga propoganda ili muendelee kuwa madarakani-unazungumzia uroho wa madaraka wa aina gani zaidi ya huu au kwa kuwa mishipa yenu ya aibu imeshakata you don't care.Tukisema huyu mtu ana tamaa na madaraka tu na wala hana ahadi za wananchi,watu watanuna,lakini huyu mzee ile ngozi ya kondoo aliyo vaa miaka yote,imechakaa tunaona madoa doa ya chui sasa
Watu wanahama dini seuse chama Mwenye nacho J.K.Nyerere alishawaambia ccm sio baba wala mamake mkiendelea kum.boa amgehama chama na nina imani hadi leo angalikuwepo angekuwa na kadi ya c.d.m siku nyiingii.
sasa hivi tupo wapi?watanzania wangapi wanauwawa kisa ardhi?wasomi wetu wanarandaranda mtaani hata kama wana good business ideas hawakopesheki kwa kuwa benki zipo kwa ajiri ya wageni tu.Taifa linaelekea utumwani bila kujijua,,,
uchu wa madaraka tu, sijui ikulu kuna nini. sana sana ataiba ili alipe fadhila kwa matajiri. Watanzania tuamke, kamwe amaetumia mbinu na nguvu nyingi kuingia ikulu ni wa kuogopwa kama ukoma
Una maanisha nini mkuu.Walipigania uhuru na haki ya nchi au Chama?Na lowasa anafanya nini now?Au ndo zile zile akili za maccm za kuwaona wasio humo kichakani si watanzania.Yaani mmetuibia sana na kukaa kwetu kimya mmeshatuona wajinga siyo? SASA kwa taarifa yako MAJANI YAMESHAKAUKA alikuwa anasubiriwa mtu wa kuwasha moto tu.Kama hamuamini tryKuna tafsiri mbaya za maneno yaliyomo kwenye hotuba za Mwl Nyerere kama hii aliyonukuu mdetichia. Kauli hii hutumiwa na waliofilisika mawazo. Unaweza kuchagua rafiki lakini siyo ndugu wahenga walinena. Kiongozi mahiri hujenga hoja ndani ya chama chake na kushawishi wenzake. Tunayo mifano mingi ya wapigania uhuru ambao wamefia kupigania haki na uhuru na waliotumikia jela kwa sababu hiyohiyo.
Nasaha nyingine ni ile ya kupata mabadiliko nje ya CCM. Maana kubwa hapa ni tahadhari kwa CCM kuenenda na mabadiliko la upinzani utaleta mabadiliko na siyo waliomo CCM wahamie upinzani. Nawasilisha.
CCM mpo madarakani 50 years now still na bado mpo tayari hata kuua,mitandaoni humu mnaingia kwa shift kuchafua watu na kupiga propoganda ili muendelee kuwa madarakani-unazungumzia uroho wa madaraka wa aina gani zaidi ya huu au kwa kuwa mishipa yenu ya aibu imeshakata you don't care.