Huu unafiki unakujaje?

Huu unafiki unakujaje?

Homemade

Member
Joined
Jun 2, 2011
Posts
17
Reaction score
1
Nimekuwa nikifuatilia masuala yanayohusu taifa letu(TZ), miezi kadhaa iliyopita nilisikia ktk vyombo vya habari eti 'wahisani waipongeza TZ na waitaja kama mfano wa kuigwa ktk mapambano dhidi ya rushwa&ufisadi'! Leo kwenye magazeti eti Tz kinara wa Utawala bora africa!! Hawa watu wa kimataifa wana2mia vigezo gani? Au wanafichwa ukweli na watawala we2?
 
Nimekuwa nikifuatilia masuala yanayohusu taifa letu(TZ), miezi kadhaa iliyopita nilisikia ktk vyombo vya habari eti 'wahisani waipongeza TZ na waitaja kama mfano wa kuigwa ktk mapambano dhidi ya rushwa&ufisadi'! Leo kwenye magazeti eti Tz kinara wa Utawala bora africa!! Hawa watu wa kimataifa wana2mia vigezo gani? Au wanafichwa ukweli na watawala we2?

Watafichwa ukweli kivipi, kwani wao wenyewe na mabalozi wao wapo hapa nchini watashindwa kuujua ukweli. basi ukweli ndio huo ambao hutaki kuukubali. kumbuka hata Bwana wetu yesu mwokozi hakukubalika kwao. basi si ajabu kwa Kikwete. wenye kujua mambo wamemuona anafaa nyie bakini na maandamano yenu.
 
Back
Top Bottom