Huu umasikini si mzuri

Jstar1

JF-Expert Member
Aug 1, 2019
1,389
1,337
Nmelala nadaiwa songesha, uku nina pisi moja kali na ndo naitegemea na inanitegemea.

Nashtuka zangu usingizini baada ya jana kurudi home saa 7 nikiwa kwa wana tunakula machingwa usku wa manane.

Ghafla inaingia text inaniomba buku jero huku nadaiwa songesha, mwili umesisimka na sina ata mia ndani,m.

Uzuri nisipotuma atajua sina ila umaskini sio mzuri

IMG_1421.jpg
 
Nmelala nadaiwa songesha, uku nina pisi moja kali na ndo naitegemea na inanitegemea.

Nashtuka zangu usingizini baada ya jana kurudi home saa 7 nikiwa kwa wana tunakula machingwa usku wa manane.

Ghafla inaingia text inaniomba buku jero huku nadaiwa songesha, mwili umesisimka na sina ata mia ndani,m.

uzuri nisipotuma atajua sina ila umaskini sio mzuriView attachment 2225364
Dah usifanye Hilo kosa Tena, huwezi kumwambia demu hivyo
 
Back
Top Bottom