Nmelala nadaiwa songesha, uku nina pisi moja kali na ndo naitegemea na inanitegemea.
Nashtuka zangu usingizini baada ya jana kurudi home saa 7 nikiwa kwa wana tunakula machingwa usku wa manane.
Ghafla inaingia text inaniomba buku jero huku nadaiwa songesha, mwili umesisimka na sina ata mia ndani,m.
Uzuri nisipotuma atajua sina ila umaskini sio mzuri
View attachment 2225364
Mm Nina gar ila CYO rang rover ingawa sas HV nimepaki had Hali ya uchumi wangu uimarike
Safi kabisa mkuu