Japo huko magharibi umeona watu kadhaa sidhani kuita hii kuwa ni culture ya kimagharibi ni sahihi kwa silimia kubwa. Tabia hii ipo mashariki kaskazini magharibi na kusini kwa watu wa aina fulani tu, wengine tunashangaa japo tunaishi eneo moja. Mfano mie nina dada Tz anetolewa out na shemeji yake mara kwa mara, ni watu wazima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.