Uchaguzi wa serikali za mitaa
Sijamaanisha ivo.
I just posted it for fun.
Samahani kama nimekukela.
![]()
Bado kidogo hawa jamaa wataingia Ikulu kwa upuuzi wa ccm.
Mkuu, ubaguzi ni dhambi mbaya sana kuwahi kufanywa na binadamu. Imetugharimu kwa karne kadhaa na inaendelea kufanya hivyo. Tusitazamane kwa rangi wote tu Watanzania.
![]()
Bado kidogo hawa jamaa wataingia Ikulu kwa upuuzi wa ccm.
Nafuu waingie
Waulize wale wote walioajiriwa na hao unaowatetea.
Jamaa wanaubaguzi wakutisha tena namatusi juu
Kama ukitaka kuoa hawajamaa watafanya kila jitihada usipate mke wakihindi, wachache waloweza testi ya ubaguzi wanaijuwa.
Kifupi hawajamaa wanatubaguwa kupita kiasi watu weusi. Naongelea wahindi.
Mi nadhani tusiwahukumu kwa rangi yao, tuwahukumu kwa matendo au uadilifu wao...
WamasaiWakazi wengi wa Mtendeni wanaasili ya kihindi. Ulitegemea mtaa wao uwe na kabila gani?
Nini cha ajabu waki ingia ikulu, wacha ubaguzi huenda wakawa niwa zuri kuliko hao unao wataka waingie huko