Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Baba kakosea.
Kumsomesha mtoto ni jukumu lake tena la kisheria. Mtoto angeweza kwenda kumshitaki baba kwa kutomsomesha. Sasa baba atambue kuwa kusomesha mtoto sikuwekeza na mtoto wala hatadaiwa popote kumtunza baba kisa alimsomesha.
Ila kijana pia aangalie laana itamuotea.
Kumsomesha mtoto ni jukumu lake tena la kisheria. Mtoto angeweza kwenda kumshitaki baba kwa kutomsomesha. Sasa baba atambue kuwa kusomesha mtoto sikuwekeza na mtoto wala hatadaiwa popote kumtunza baba kisa alimsomesha.
Ila kijana pia aangalie laana itamuotea.