mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,282
- 6,162
shida yenu mkiwa na miaka 18 mpk 28 mnaringa sana sasa mkishafikisha 30 ndo mnaanza kuwa wapole huku mkiwa mshashuka soko
Mashabiki watavumilia mvua kweli mamy?![]()
![]()
![]()
njoo tu afu tugonge show mvuani
espy nafikiri bado kikojoleo cha mmeo unakipenda mama au?
Haya mchukue haraka nisije nikamtia busha la gunia la magimbi.
baby we kibokoBasii namnuniaHivi mamy umeanza lini kuchekeana na MO11

Kaa naye mbali sawa! Kazi yake ni kuchezea wake za watu... atatuvurugia mipango yetuBasii namnunia![]()
Acha ushilawadu mkuu hakuna aliekuuliza habari za daby hapami najua kabisa Daby hajatulia habari zake zimesambaa humu
sio ushilawadu ila ni ukweli usiotaka kuujua ukiniamini nitakupa access ya account yake hapa jfAcha ushilawadu mkuu hakuna aliekuuliza habari za daby hapa
Uko wapi mi nipo single naitwa imahata sielewi kwanini nipo single hadi mida hii...
huku nakoelekea ni kwenye album sasa....
mitaa gani kuna ma single boy,nianze kutoka toka nje labda wataniona....
ni cinemas au restaurants???
ni beach au kwenye events???
fancy places au maofisini???
uwanjani au clubs???
supermarkets au vituoni??
misikitini au kanisani???
Haya nipesio ushilawadu ila ni ukweli usiotaka kuujua ukiniamini nitakupa access ya account yake hapa jf

NishamsomaKaa naye mbali sawa! Kazi yake ni kuchezea wake za watu... atatuvurugia mipango yetu
hataki nikuambie ukweli shem DarlingBasii namnunia![]()
Baby niletee BIG BOM

Baby niletee BIG BOM![]()
![]()
![]()


hahaha.. haya mamy chochote utakachosema hata ukisema nimteke makondakta nitamleta mimi kwani shingapi bwana....Hata nikiujua huo ukweli utakuwa hauna kwangu so kaa nao tuhataki nikuambie ukweli shem Darling
inabidi tukubaliane kwanza vigezo na masharti kuzingatiwaHaya nipe![]()