kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Ofisi za serikali watumishi wengi wana degree, diploma na certifiates za kutendeneza/ kuchongesha na wala hawakuwahi kwenda ktk hivyo chuo, taasis na mashirika ya watu binafsi ndo usiseme, harafu tunalalamika utendani/ ufanisi wa kazi