Kwa mtindo huu kazi tunayo: wenzetu hawa ndiyo wanaokuja kutukopa majumbani lakini jioni ya jana walionekana na furaha kuu eti wakikumbuka kuanzishwa kwa TANU, jamani huu siyo usaliti au wenzetu hawaishi Tanzania hii yenye shida lukuki?
Jamani kwa shinda hizi tulizonazo: 1: MAJI: 2: UMEME: 3: CHAKULA BEI JUU: 4: PETROL HAISHIKIKI: 5: MALAZI BEI JUU: 6: MISHAHARA HAIKIDHI MAHITAJI YA MSINGI 7: ADA ZA SHULE NI JUU: 8: KAYUMBA SCHOOLS HOVYO KABISA, je tukimbilie wapi?
AT THE SAME TIME - ANGALIA HAWA WENZETU WANA FURAHA KUU HAPA: Huu si ni usaliti, watanzania wenzetu wanatusaliti hivi hivi , raha gani waliyonayo hawa watu kama si unafiki?
au ndiyo kuweka shida chini, kutupa mikono juu kubajuka na chama twawala as long as chochote kidogo kimepatikana mifukoni? ukitoka hapo shida ni zile zile.
Jamani kwa shinda hizi tulizonazo: 1: MAJI: 2: UMEME: 3: CHAKULA BEI JUU: 4: PETROL HAISHIKIKI: 5: MALAZI BEI JUU: 6: MISHAHARA HAIKIDHI MAHITAJI YA MSINGI 7: ADA ZA SHULE NI JUU: 8: KAYUMBA SCHOOLS HOVYO KABISA, je tukimbilie wapi?
AT THE SAME TIME - ANGALIA HAWA WENZETU WANA FURAHA KUU HAPA: Huu si ni usaliti, watanzania wenzetu wanatusaliti hivi hivi , raha gani waliyonayo hawa watu kama si unafiki?
au ndiyo kuweka shida chini, kutupa mikono juu kubajuka na chama twawala as long as chochote kidogo kimepatikana mifukoni? ukitoka hapo shida ni zile zile.