Huu si uanaume, ni aibu

Mada nzuri, wachangiaji mnaleta UCHURO!
 
Mtoa mada kama sijamuelewa saaaana,Labda hapo kwenye namba 5 kidogo.
 
hasa hapo kwenye kujibu 'k' huwa wanaboa sana...... kuhusu kuomba ushauri kwa mambo ya kitoto hapo ndo huwa nawakemea sana watu humu ndani, mfano yule wa kusema mpenzi wake kaja ghafla na hakuwa na bajeti yake ya msosi na akataka ushauri jamaa aliniudhi sana yaani.
mi nishauri kuwa watu wanaowafahamu wanaume wa namna hizi pindi waonapo dalili kama hizi wawe wanawakea na kuwaelemisha sio unaona mtu anatoa maneno ya mipasho afu unamuacha tu jua unamuharibu maana atajiona yupo sahihi
 
Miaka 5 ijayo kizazi cha wanaume kitakuwa kimepotea kabisa kabisa.
Mjiandae kisaikolojia kukubali mitala na ikibidi kianzishwe chuo kikuu cha kupunguza wivu kama sio kuondoa kabisa maana tutakuwa wachache sana.
 
we kuna unao wawinda hapa ! [ sema tu tabia hizo ni za wavulana wa mkoa wa ....................]
 
Ni hatari sana
 

Hapo kwenye red hapo, je kuandika bana badara ya bwana nao ni uanaume or uanamke?!😱
 
Hapo kwenye red hapo, je kuandika bana badara ya bwana nao ni uanaume or uanamke?!😱
Mkuu tatizo la watu siku hizi akiona kitu yeye hakipendi basi atataka kukifanya kuwa ni kitu kibaya kwa watu wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…