Jamani ndugu zangu wapenda mabadiliko mambo yanayofanywa sasa hivi na hawa viongozi wetu yamekuwa ya ajabu sijui wanaongoza wanyama au wajinga gani jamani tuamke tupinge kwanguvu ahaya mambo maisha yanapanda daily, rushwa kila kona sidhani kama kuna kiongozi katika hii nchi kwa sasa jiji la Dar ni chafu ujinga mwingi kazi hazifanyiki yaani ni full ujinga