Huu ni utumwa wa kifikra .

Huu ni utumwa wa kifikra .

cairnegie

Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
12
Reaction score
6
Huenda hawa walionzisha hizi siku za amani , sheria , familia , baba ,mama , mwanamke ,mtoto , wapendanao ... wanatuona mafala kwa vile tunavozishobokea hizo sikukuu .
Sababu kuu ni kua maisha yao yako kinyume kabisa na hizo fikra , HUU NDIO NI UTUMWA WA KIFIKRA 😡 !
Hata ikianzishwa siku kuu ya mashoga duniani utawaona wanavojikomba .
 
Back
Top Bottom