Huu mzunguko ukiweza kuuvunja ni jambo la kupongezwa ... anyway ndio maisha hayo.Unatoka nyumbani saa 12 kwenda ofisini, unarudi nyumbani saa 2 usiku
Kimsingi ni kwamba unaishi kazini ila nyumbani unarudi tu kupatembelea
Na huu mzunguko ukiufanya hadi miaka 55-60
Kimsingi wewe ni mtumwa uliyekosa minyororo tu
sahihi kabisa, watu hujua uhalisia mda ushaendaUnatoka nyumbani saa 12 kwenda ofisini, unarudi nyumbani saa 2 usiku
Kimsingi ni kwamba unaishi kazini ila nyumbani unarudi tu kupatembelea
Na huu mzunguko ukiufanya hadi miaka 55-60
Kimsingi wewe ni mtumwa uliyekosa minyororo tu
SahihiUnatoka nyumbani saa 12 kwenda ofisini, unarudi nyumbani saa 2 usiku
Kimsingi ni kwamba unaishi kazini ila nyumbani unarudi tu kupatembelea
Na huu mzunguko ukiufanya hadi miaka 55-60
Kimsingi wewe ni mtumwa uliyekosa minyororo tu
Una maana gani? 😂.
Mkuu uliona wapi mfumo wa maisha ukakupumzisha?Unatoka nyumbani saa 12 kwenda ofisini, unarudi nyumbani saa 2 usiku
Kimsingi ni kwamba unaishi kazini ila nyumbani unarudi tu kupatembelea
Na huu mzunguko ukiufanya hadi miaka 55-60
Kimsingi wewe ni mtumwa uliyekosa minyororo tu
Kwako wewe kufanya kazi ni utumwa? Najua waafrika wengi tumezoea ku-relax na huwa tunataa kazi tufanye tunapojisikia tu. Majuu kuna watu wengi wenye fedha na wanafanya kazi kwa muda mrefu. Wao wanaona kufanya kazi kama ndiyo sifa kuu wanayotakiwa kuwa nao binadamu wote.Unatoka nyumbani saa 12 kwenda ofisini, unarudi nyumbani saa 2 usiku
Kimsingi ni kwamba unaishi kazini ila nyumbani unarudi tu kupatembelea
Na huu mzunguko ukiufanya hadi miaka 55-60
Kimsingi wewe ni mtumwa uliyekosa minyororo tu