Huu ni utumwa wa hali ya juu

Huu ni utumwa wa hali ya juu

Mimi sijawahi kuajiliwa
Lakini hata siku moja sitakuja kuamini aliyeajiliwa ni mtumwa


Uwe umeajiliwa au kujiajir wote ni watumie
Tofauti yetu wewe unamtumikia nani


Kutafuta pesa ni utumwa
Mtu guru ni yule asiyetafuta hela
Lengo la kufanya kazi kwa wengine ni zaidi ya kutafuta fedha. Elon Musk lengo lake kuu ni kutafuta fedha?
 
Unatoka nyumbani saa 12 kwenda ofisini, unarudi nyumbani saa 2 usiku

Kimsingi ni kwamba unaishi kazini ila nyumbani unarudi tu kupatembelea

Na huu mzunguko ukiufanya hadi miaka 55-60

Kimsingi wewe ni mtumwa uliyekosa minyororo tu
Tutaongea na bi. samia atuongeze mshahara walau ufike 18M, kama wabunge kisha tuone kama kweli sisi ni watumwa au wewe mtoa mada?
 
Usije laumu mtu, jilaumu mwenyewe na maamuzi yako!, hamna namna. Usipojituma utatumwa tu!.
 
Kuajiriwa ni utumwa sana mbaya zaidi pia ni unyonywaji wa kiwango cha lami.

Hata ukijiajiri usipotumia mfumo huo ni ngumu sana kupata kikubwa.
 
Working HRS 9:00 - 17:00
13:00 - 13:30 lunch
Saturday 9:00 - 15:00
Sunday closed
All public holidays closed.
 
Working HRS 9:00 - 17:00
13:00 - 13:30 lunch
Saturday 9:00 - 15:00
Sunday closed
All public holidays closed.

Bado hujaomba vilikizo uchwala sijui unaumwa, Umefiwa. Wakati mwenye biashara anakomaa TU every day
 
Huo ni mfumo mkuu

Unaitwa Ecosystem samaki mkubwa anamla mdogo .

Ili kuushinda Huo Mfumo mpaka ufike ile hatua yaani unaingiza hela ukiwa popote bila Kuwepo eneo husika.

Mfano Bakhressa anauza Ngano Mwanza kwahiyo yeye atapata taarifa kupitia watu wake.

Au Diamond Anavyouza muziki wake, wasafi BET n.k

Ila ukiwa upo unategemea utoke ndo upate PESA lazima ukomae

Limit of time and energy
 
Sasa mkuu hayo machawa ya ccm yanalazwa kwenye vyoo rumumba yanaruhusiwa j2 yakasalimie familia
 
Mimi sijawahi kuajiliwa
Lakini hata siku moja sitakuja kuamini aliyeajiliwa ni mtumwa


Uwe umeajiliwa au kujiajir wote ni watumie
Tofauti yetu wewe unamtumikia nani


Kutafuta pesa ni utumwa
Mtu guru ni yule asiyetafuta hela
Hapo umemaliza kila kitu na uzi ufungwe na naomba ninukuu...

Kutafuta pesa ni utumwa
Na mtu huru ni yule asiyetafuta pesa
 
Unatoka nyumbani saa 12 kwenda ofisini, unarudi nyumbani saa 2 usiku

Kimsingi ni kwamba unaishi kazini ila nyumbani unarudi tu kupatembelea

Na huu mzunguko ukiufanya hadi miaka 55-60

Kimsingi wewe ni mtumwa uliyekosa minyororo tu
Inafikirisha sana sana..
 
Kwa mwaka miezi sita kazi miezi sita mapumziko.
No weekend, no public holidays, 12 hours per day
 
shida wengi wanapiga Kaz masaa mengi lakini kipato kidogo sana, ingekuwa unapiga masaa yote hayo na kibunda kinaendana mbona fresh tu
 
shida wengi wanapiga Kaz masaa mengi lakini kipato kidogo sana, ingekuwa unapiga masaa yote hayo na kibunda kinaendana mbona fresh tu
 
Back
Top Bottom