Huu ni uthihitisho, Ikulu na Serikali hazikubaliki kwa wananchi

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,109
18,326
Ukifuatilia kwenye mitandao ya kijamii, Serikali imekuwa ikinisifia sana lakini haipati sifa zile zile kutoa kwa wananchi.

Unaweza kuta Ikulu imepost jambo zuri, lakini watakao comment ni wachache na pengine hakuna kabisa.

Tofauti na Ikulu nyingine, wakipost utakuta wananchi wanachangia na kutoa mawazo yao.

Nimejifunza mambo mawili

1. Inawezekana wananchi wanacomment negative comments na zinafutwa

2. Wananchi hawaoni cha kucomment kwa sababu mara nyingi zinakuwa taarifa za kumuabudu mtu.

Angalia hapo kwenye picha, hadi saa moja ninapita kwenye post ya msigwa wa ikulu kuna comment 1 na view 3

Msigwa na Abbasi jifunzeni.
20200530_150455.jpeg
 
Ukifuatilia kwenye mitandao ya kijamii, serikali imekua ikinisifia sana lakini haipati sifa zile zile kutoa kwa wananchi.

Unaweza kuta ikulu imepost jambo zuri, lakini watakao comment ni wachache na pengine hakuna kabisa.

Tofauti na ikulu nyingine, wakipost utakuta wananchi wanachangia na kutoa mawazo yao.

Nimejifunza mambo mawili

1. Inawezekana wananchi wanacomment negative comments na zinafutwa

2. Wananchi hawaoni cha kucomment kwa sababu mara nyingi zinakuwa taarifa za kumuabudu mtu.

Angalia hapo kwenye picha, hadi saa mojaninapita kwenye post ya msigwa wa ikulu kuna comment 1 na view 3

Msigwa na abaasi jifunzeni.View attachment 1463535
Post umechukua ikiwa na muda mfup tangu ipostiwe
 
Ukifuatilia kwenye mitandao ya kijamii, serikali imekua ikinisifia sana lakini haipati sifa zile zile kutoa kwa wananchi.

Unaweza kuta ikulu imepost jambo zuri, lakini watakao comment ni wachache na pengine hakuna kabisa.

Tofauti na ikulu nyingine, wakipost utakuta wananchi wanachangia na kutoa mawazo yao.

Nimejifunza mambo mawili

1. Inawezekana wananchi wanacomment negative comments na zinafutwa

2. Wananchi hawaoni cha kucomment kwa sababu mara nyingi zinakuwa taarifa za kumuabudu mtu.

Angalia hapo kwenye picha, hadi saa mojaninapita kwenye post ya msigwa wa ikulu kuna comment 1 na view 3

Msigwa na abaasi jifunzeni.View attachment 1463535
Waliozea dezo za janjajanja za awamu iliyopita hawawaezi kukomenti chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifuatilia kwenye mitandao ya kijamii, serikali imekua ikinisifia sana lakini haipati sifa zile zile kutoa kwa wananchi.

Unaweza kuta ikulu imepost jambo zuri, lakini watakao comment ni wachache na pengine hakuna kabisa.

Tofauti na ikulu nyingine, wakipost utakuta wananchi wanachangia na kutoa mawazo yao.

Nimejifunza mambo mawili

1. Inawezekana wananchi wanacomment negative comments na zinafutwa

2. Wananchi hawaoni cha kucomment kwa sababu mara nyingi zinakuwa taarifa za kumuabudu mtu.

Angalia hapo kwenye picha, hadi saa mojaninapita kwenye post ya msigwa wa ikulu kuna comment 1 na view 3

Msigwa na abaasi jifunzeni.View attachment 1463535
Gazeti la uwazi linasomwa zaidi kuliko magazeti yote
 
Mkuu jamaa amezungumzia hao hao waliopo twitter (under ceteris paribus)... hata kama ni mia moja inakuaje post za ikulu hazina likes na comment kama post zingine..!??

Jikite kwenye hoja.
Ndo kwanza ina saa moja!!! Cool
 
For your information, wapiga kura walio wengi hawapo huko Twitter, waliopo Twitter ni wapiga kelele tu wasiopiga kura.

Mkitumia mbinu ya mitandao you will always fail. Mwangalie kigogo wa Twitter yupo busy haswaaa lakini likes huwa hazifiki hata laki2
Ukifuatilia kwenye mitandao ya kijamii, serikali imekua ikinisifia sana lakini haipati sifa zile zile kutoa kwa wananchi.

Unaweza kuta ikulu imepost jambo zuri, lakini watakao comment ni wachache na pengine hakuna kabisa.

Tofauti na ikulu nyingine, wakipost utakuta wananchi wanachangia na kutoa mawazo yao.

Nimejifunza mambo mawili

1. Inawezekana wananchi wanacomment negative comments na zinafutwa

2. Wananchi hawaoni cha kucomment kwa sababu mara nyingi zinakuwa taarifa za kumuabudu mtu.

Angalia hapo kwenye picha, hadi saa mojaninapita kwenye post ya msigwa wa ikulu kuna comment 1 na view 3

Msigwa na abaasi jifunzeni.View attachment 1463535

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom