Huu ni utata yangu Macho!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,542
8,535
Shitt.jpg Dam.jpg Toa Maoni yako!!:msela:
 
Kuna katabia sikapendi, kila kitu ambacho si cha kawaida anasingiziwa mchina!!!Hii imefanya akili za watu kuwa fupi na kufikiri kwa mkato!!Zamani na mpaka leo huko vijijini na mijini ambako mchina hawamjui wako watu wenye maumbile haya.Ni homoni na maumbile ya mtu tu!Sio kila mtu anatumia dawa.Ckatai pia kuwa wapo wanaotumia dawa hizo za asili lakini ni wachache kuliko tunavyokuza.Nawasilisha
 
zeutamu nini.....akiiona kikwete utatafutwa na usalama wa taifa wewe!
 
kaka kiiza vipi leo umeaamka salama lakini/
au ni mabomu yamekuchanganya kaka yangu?
pole sana.
 
Marazi matupu, finaly uzeeni mgongo na kiuno yatakapoeleza matatizo yake
 
Siku zote wastani inalipa, na kitu chochote kikizidi huwa kibaya, hao wote hamna mvuto hapo kwani kama ni wowowo limezidi mno
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom