Huu ni Ushetani. BASATA mko wapi!?

Mimi naona ni sahihi kabisa.
Huwezi kuzuia kazi za shetani huku ukimkumbatia shetani.

Muziki ni kazi za shetani na hicho alichokifanya zuchu ni miongoni mwa kazi za shetani za kueneza uzinzi.
Labda serikali izuie mziki kiujumla
Kwahiyo mamlaka ya kuzuia kazi za kishetani kapewa mtu anayemkumbatia shetani.!?

This is deep.
 
Maana yake ni kwamba kizazi chote kipya kinaenda angamia.
Huyu Zuchu anavyopendwa na watoto ni hatari kubwa..
 
Sawa..watenda dhambi hawapaswi tengwa. Lakini mtenda dhambi mwenye mapesa mengi tena ya kishetani, unaanzaje kaa nae akuelewe.!?
 
πŸ‘πŸ‘πŸ’―πŸ’―
 
Sawa..watenda dhambi hawapaswi tengwa. Lakini mtenda dhambi mwenye mapesa mengi tena ya kishetani, unaanzaje kaa nae akuelewe.!?
Huyo mtenda dhambi mwenye mapesa ni vyema umwache atumie pesa zake. Wewe deal nao wana wa giza wenye maisha magumu, wagonjwa, wenye mateso mbalimbali hao watakusikia na kukuelewa haraka kuliko matajiri .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…