Huu ni ushenzi uliopitiliza

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,143
Reaction score
831,813
Jamaa mmoja hapa mtaani kwetu anakula dada mtu na mdogo wake wa kiume, huu ni udhalilishaji wa aina yake kwa mkewe na familia nzima, hata kama shemeji yako ana tabia za kishoga huwezi kutembea naye wakati dadaake ndio mke wako wa ndoa! Huu ni ufirauni uliopitiliza
 
Wewe umeshaona tatizo, umeshachukua hatua gani hadi sasa kutatua hilo tatizo?
 

Hypothetical???
 
Sodoma na Gomorah !!next time werocord uweke na video yao kabisa
 

Ikipita siku bila kuanzisha thread angalau tatu, mi ntabadili diní. We unamfaa sana Shigongo.
 
Ikipita siku bila kuanzisha thread angalau tatu, mi ntabadili diní. We unamfaa sana Shigongo.

spare my ribs jamani khaaaa!!!!!!!!!!!!
haya sasa umeamkaje wewe lkn??
 

hayatuhusu
 
Shetan mwenyewe hapo nae anawashangaa dhambi za ajabu mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…