Huu ni urafiki au unafiki kwenye birthdays?

Huu ni urafiki au unafiki kwenye birthdays?

Lukaku marata

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2019
Posts
448
Reaction score
752
Habarini za humu wadau, juzi tarehe sita mwezi wa 12. Nilikuwa nasherekea siku yangu ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 21.

Basi nikajipostia picha yangu na baadhi ya maneno kujiwish happy birthday kwenye whatsapp status. Cha ajabu wale rafiki zangu kabisa wa karibu wa view tu status halafu hata comment ya kukuwish hamna.

Wengine kwenye birthday zao hadi picha zao status huwa naweka nikitarajia pia siku yangu ya kuzaliwa watafanya hivyo lakini hamna.

Nina Gundu au?
 
we dogo vipi kwani kuna tatzo au umepungukiwa kitu?
hapo we endelea na story za diamond, alikiba, hamoniza nk then badae kafunue hotport bimkubwa atakuwa kafanya mambo kufika saa 2 usiku uwe ndani@Lukaku marata,
 
Mkuu Badirika faster usiwe mtu wa expectations sana maana utakua disappointed mnooo chukulia simple n easy tu uki jiwekea ni lazima iwe hivi mara vile utalialia sana
 
Back
Top Bottom