Huu ni upuuzi wa kiwango cha lami

Huu ni upuuzi wa kiwango cha lami

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,316
Reaction score
4,184
Papuchi inakutoa akili mpaka unahonga gari na nyumba wakati mama yako mzazi analelewa na taasisi ya kidini. ,Memba mwenzetu badirika bwana kwani inasikitisha sana
 
Achana na apo kati mkuu adi bubu wanaongea....

am better here
 
Alikuomba wewe hizo hela alizonunulia gari na hiyo nyumba aliyohonga?

Unauchungu na mama yake kuliko yeye aliyemzaa?

Unafatilia maisha ya mtu hadi unakuja kuweka jina lake mtandaoni? We kiboko aisee
 
Huyu ni Muajemi kabisa siyo kwa kulipuka huku. Huyo jamaa acha ahudumie papuchi yake. Mama yake atanunuliwa gari na mmewe.
 
Duh



 
Unatema nyong kwaajil ya mtu kuhonga, njia nzur n kuishi laif yako huu ndo usinich, wacha usinich na laif ya mutu, haikuhusu, kata kona ya pil afu lia kwanguvuuuuu wivuuu, usnich uisheee, Maisha ya mtu haikuhus ni yake. (right to privacy)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati panafanya kiziwi asikie utamu, jiulize anasikiaje?
 
Back
Top Bottom