Huu ni uporaji au wizi

Huu ni uporaji au wizi

USA baada ya kutathimini hasara aliyoipata kaamua kujilipa hapo hapo
 
Waislamu wa Buza tumemaindi sana, kwanini wasizitumie kununua makobazi na tende kwa waislamu wenzao, wao wanazipeleka kwa makafiri kuwaungisha. Allah anafeli wapi sijui.
Iran hakuwahi kuzihitaji hizo hela,wameishi muda mrefu bila hizo hela, marekani ndiyo anahitaji wakulima wake wapate hela tangu mchina kaacha kununua soya kwao
 

Trump


Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuachiliwa kwa sehemu ya kwanza ya mali za Iran zilizokuwa zimezuiwa, akisema kuwa Iran itatumia fedha hizo kununua chakula kutoka kwa wakulima wa Marekani.

Abdolnaser Hemmati, mkuu wa Benki Kuu ya Iran, pia amethibitisha kwa njia isiyo ya moja kwa moja taarifa hizo. Amesema kuwa dola bilioni 6 za kwanza zilizofunguliwa zitatumika kununua chakula na dawa kulingana na makubaliano yaliyofikiwa kati ya Tehran na Washington mwaka 1402 kwa kalenda ya Iran.

Hemmati aliongeza kuwa dola bilioni 6 za pili, baada ya kuachiliwa, zitatumika kununua bidhaa ambazo hazijafungwa na vikwazo vya kimataifa.

Wakati huo huo, Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, aliondoka kuelekea Muscat saa moja baada ya kurejea kutoka Uswisi.

Ziara hiyo imeelezwa kuwa ni kwa ajili ya “maandalizi ya Iran ya usimamizi wa Mlango-Bahari wa Hormuz” pamoja na kuimarisha ushirikiano wa pande mbili.

Aidha, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, anatarajiwa kufanya ziara nchini Pakistan katika siku zijazo kama sehemu ya juhudi za kidiplomasia na kuimarisha mahusiano ya kikanda.

Kwa ujumla, hatua hizi zinaashiria kuendelea kwa mazungumzo na ushirikiano kati ya Iran, Marekani na nchi washirika wa eneo hilo, huku masuala ya uchumi, biashara na usalama wa njia ya bahari ya mlango bahari wa Hornuz yakipewa kipaumbele.
Ndivyo hawa jamaa walivyo! Watahakikisha hiyo hela haitumiki kujenga Iran Kijeshi
 

Iran denies unfrozen funds will be used to buy US foodstuffs​

Tehran’s top negotiator has accused Washington of exporting “trash talks”
Published 26 Jun, 2026 04:38 | Updated 26 Jun, 2026 05:40
Iran denies unfrozen funds will be used to buy US foodstuffs

A grain bin stands in a corn field in Marne, Iowa on October 12, 2024. © Bill Clark / CQ-Roll Call, Inc via Getty Images
Iran’s chief negotiator, Mohammad Bagher Ghalibaf, has denied that the country’s unfrozen assets would be used to buy agricultural products from the US. His remarks add to conflicting interpretations of the interim US-Iran peace deal signed on June 17.

“America falsely claims our unfrozen assets will buy their agriculture. Interesting. The only crop we’re harvesting is what you planted: decades of mistrust. It’s organic, abundant, and homegrown,” Ghalibaf wrote on X on Thursday.

“But apparently the US only exports GMO soybeans, broken promises and trash talks,” he added.

Under the memorandum of understanding (MoU) cited by the media, the US agreed that an unspecified amount of assets frozen under sanctions would be “made fully available for use” by Iran upon implementation of the deal.

US and Iran clash over Hormuz transit toll
 
Hatua kubwa na ya kupongezwa! Hii inaonyesha kuwa diplomasia na mazungumzo daima ndiyo njia sahihi ya kutatua migogoro na kuleta utulivu wa kiuchumi duniani. Ni matumaini yetu kuwa ushirikiano huu utaleta tija zaidi kwa pande zote mbili. 🕊️✨
Ukiwa mnyonge mazungumzo hayapo. Hiyo diplomasia inatumika kwa wenye nguvu. Iran angelegeza au kujiona mnyonge katika mapambano na Marekani na Israel hiyo diplomasia isingetumika wala kusingekuwa na muda wa mazungumzo.
Marekani na Israel wamepata maumivu kutoka kwa Iran. Hii ndo imeleta hiyo balance na kuona adui yetu si mnyonge.
 
Back
Top Bottom