Kwa wajasiriamali,
Hakuna hatari kubwa kama kusema jambo hili nitafanya kesho,kwa sababu kesho ina mambo yake. Hakuna ugonjwa mbaya kama kusema bila kutenda. Ili ufanikiwe ni muhimu sana nadharia na vitendo viende pamoja.
Nayachangia haya kwa sababu nimeyaona ktk jamii yetu na mimi yameniathiri kwa namna moja ama nyingine. Kwa ulimwengu tuliomo kwa sasa,kila kitu ni mapambano makubwa.
Hakuna hatari kubwa kama kusema jambo hili nitafanya kesho,kwa sababu kesho ina mambo yake. Hakuna ugonjwa mbaya kama kusema bila kutenda. Ili ufanikiwe ni muhimu sana nadharia na vitendo viende pamoja.
Nayachangia haya kwa sababu nimeyaona ktk jamii yetu na mimi yameniathiri kwa namna moja ama nyingine. Kwa ulimwengu tuliomo kwa sasa,kila kitu ni mapambano makubwa.