Shukran
Napenda kujua kidole kinaendeleaje?Shukran
Yaani pesa ya bando na simu ya kuingilia humu jamii forum ipo halafu ya kwenda hospital kuangalia afya haipo??Pesa ndio shida mkuu
mkuu nitaomba mrejesho.. najua ulifanya hivyo siku mbili tatu utapata mrejeshoShukran sana kwa msaada wako tutafanya ivo