Napajua
Pole..lakini pia muache uzembe mpelekeni hospital hamuwezi sema pesa shida wakati mnamiliki smart phone na bando umenunua fanya mpango uza smart kuokoa afya ua nduguyo.Pesa ndio shida mkuu
Pesa ndio shida mkuu
Sawa utanipa bei gani hii simu
Fangasi mkuu,nenda hospHabari wandugu iko kidole kina mwezi wa pili sasa tumejaribu kumkamua lakini hakijatoa usaha kwa hivyo sio jipu na pia sio mdudu maana watu wanadai mdudu hawezi kudumu kwa kipindi kirefu hivyo msaada jamani kwa wenye ujuziView attachment 1108326