Gennivive moretheiz
Member
- Jul 19, 2013
- 16
- 8
Mama mmkubwa wangu anawatoto 10 ila baadaya kujifungua mtoto wake huyu wa mwisho alianza kubadilika ghafla akaanza tabia ya kuongea mwenyewe yaani kama anajibizana na watu na mara nyingine anafoka na huwa hatoki tena nyumbani na anaweza kuongea hivyo kwa siku nzima -ila mgeni akija humpokea vizuri na huweza kuongea nae vizuri kabisa bila hata mgeni kujua kuwa anatatizo lolote
-naombeni nisaidiwe kujua hili ni tatizo gani? Wengine husema nguvu za giza, wengine husema karukwa na akili sababu ya kuzaa watoto wengi ukweli hasa uko wapi? ., nini madhara yake lisipotibiwa mapema?
- nini matibabu yake?
-naombeni nisaidiwe kujua hili ni tatizo gani? Wengine husema nguvu za giza, wengine husema karukwa na akili sababu ya kuzaa watoto wengi ukweli hasa uko wapi? ., nini madhara yake lisipotibiwa mapema?
- nini matibabu yake?