Huu ni ufahari au ulimbukeni?

Huu ni ufahari au ulimbukeni?

mchonjoya

Member
Joined
Aug 17, 2016
Posts
81
Reaction score
200
Hrb wana jamvi!nije kwenye mada husika.mwanaume anamke harali wa ndoa.ana kimada kakipangia chumba,ana mchepuko wa kudumu,ana girlfriend,rakini bado anazidi kutogoza na kuwatamani wanawake,wengine.swali?kufanya hivyo ni hufahari,kidume sana au nini hasa?inasemakana mwanaamke asipo tongozwa alau Mara tatu kwa Siku hujiona anamikosi,je ndo hari inayotupelekea kua wanaume kuwatongoza ili kufikisha lengo lao LA kutongozwa kira siku?na kwa nini mwanamke ukimuambia ukweli,akuamini,badala yake kuamini pindi akidanywa?na huu usemi unasema wanawake 10 sawa na mwanaume mmoja umetokana na nini?na kigezo gani kimetumika kutoa tasmini hyoo?kama hivyo ndivyo haki sawa inatoka wapi ikiwa ke10sawa me1?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungemuuliza mhusika kama anafanya ufahari au ni moja kati ya mahitaji yake ya muhimu.

Mambo mengine mngemalizana hukohuko mlikojulishana haya mambo ya mchepuko wake, girlfriend wake, mke wake na na huyo kimada aliyempangishia chumba.

Kwanza unafanya kazi gani kijana?
 
Sasa muda wakuwahudumia wote hao upo? Sio chakula maana mpaka wamefika hapo walikuwa wanakula, itakuwa anakusanyia wenzie tena wale wanaompa sifa ndiyo hao hao wanakula naye kundi lote hilo kila siku ulizungukie haa haa, unaishi tegeta kazi mbagala kila siku utoke saa 10 alfajiri mmm labda kama muuza genge nyumbani sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada kama hizi zipeleke fb utapata mashabiki wake, hapa jf ni mahali panapokutanisha watu waliopevuka kifikra.

Hati yako chafu inakutafsiri wewe ni wa aina gani.
 
Hrb wana jamvi!nije kwenye mada husika.mwanaume anamke harali wa ndoa.ana kimada kakipangia chumba,ana mchepuko wa kudumu,ana girlfriend,rakini bado anazidi kutogoza na kuwatamani wanawake,wengine.swali?kufanya hivyo ni hufahari,kidume sana au nini hasa?inasemakana mwanaamke asipo tongozwa alau Mara tatu kwa Siku hujiona anamikosi,je ndo hari inayotupelekea kua wanaume kuwatongoza ili kufikisha lengo lao LA kutongozwa kira siku?na kwa nini mwanamke ukimuambia ukweli,akuamini,badala yake kuamini pindi akidanywa?na huu usemi unasema wanawake 10 sawa na mwanaume mmoja umetokana na nini?na kigezo gani kimetumika kutoa tasmini hyoo?kama hivyo ndivyo haki sawa inatoka wapi ikiwa ke10sawa me1?

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha umbea naona unaingilia uhuru wa watu, kama imani yako ni mke mmoja tuliza mdomo wako. Umeona mwanaume kampangia chumba mke mdogo umeanza maneno mchepuko sijui vimada mara sijui hawara yanakuhusu nini?

Mwanaume kaamua kuishi na wanawake wanne na huduma anaweza kuwapatia wewe inakuuma nini? Sio ajabu unamke mmoja na bado unashindwa kumpa huduma.

Wanaume tumetofautiana, kama una nguvu za kutafuta kwa manati na pesa ya kumlisha mwanamke huna basi oa mmoja utulize stress na ukiona mwanaume mwenzio anaoa wanawake wa 4+ ujue nguvu za kiume anazo na pesa za kuhudumia anazo pia.

Usijifananishe wewe na mwingine, mke unaye mmoja lakini mapenzi unampa mara moja kwa wiki au zaidi ya wiki na bado ili ufanye mapenzi hadi ufinywe finywe kunako siri ndio mtandao ujae hiyo ni shida sana.

Kama wew ni mwanamke tulia na bwana ako koma kuchunguza mabwana za watu.

Mkorintho wa 6
 
Hrb wana jamvi!nije kwenye mada husika.mwanaume anamke harali wa ndoa.ana kimada kakipangia chumba,ana mchepuko wa kudumu,ana girlfriend,rakini bado anazidi kutogoza na kuwatamani wanawake,wengine.swali?kufanya hivyo ni hufahari,kidume sana au nini hasa?inasemakana mwanaamke asipo tongozwa alau Mara tatu kwa Siku hujiona anamikosi,je ndo hari inayotupelekea kua wanaume kuwatongoza ili kufikisha lengo lao LA kutongozwa kira siku?na kwa nini mwanamke ukimuambia ukweli,akuamini,badala yake kuamini pindi akidanywa?na huu usemi unasema wanawake 10 sawa na mwanaume mmoja umetokana na nini?na kigezo gani kimetumika kutoa tasmini hyoo?kama hivyo ndivyo haki sawa inatoka wapi ikiwa ke10sawa me1?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika vitu gani?! Yaani we ni box tupu, labda sana unajua umbea, kula na ku...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungemuuliza mhusika kama anafanya ufahari au ni moja kati ya mahitaji yake ya muhimu.

Mambo mengine mngemalizana hukohuko mlikojulishana haya mambo ya mchepuko wake, girlfriend wake, mke wake na na huyo kimada aliyempangishia chumba.

Kwanza unafanya kazi gani kijana?
Mtumishi wa kiroho..
 
Mada kama hizi zipeleke fb utapata mashabiki wake, hapa jf ni mahali panapokutanisha watu waliopevuka kifikra.

Hati yako chafu inakutafsiri wewe ni wa aina gani.
Fb ndo wapi?ata wewe unaonekana hauko sawa.ivi wewe na MPAUKO NI NDUGU?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom