Huu ni mwamba wa aina gani?

Saguda47

JF-Expert Member
May 1, 2016
10,765
18,618
Wakuu hamjambo, nmepita maeneo fulani hivi katika matembezi, nimeona mwamba huu wa rangi kama nyeusi hivi; ikabidi nilichukue kwa uchunguzi zaidi, test ya kwanza nimefanya kwenye sumaku na unavutwa na sumaku ninafikiri una Iron content.

Pia nimelipima uzito wake una robo kilo (1/4 kg) Yaani una uzito mkubwa ukilinganisha na miamba mingine yenye umbo sawa na huu ,

Kwa wajuzi zaidi naomba kufahamishwa.

1549031229483.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hamjambo, nmepita maeneo fulani hivi katika matembezi, nimeona mwamba huu wa rangi kama nyeusi hivi; ikabidi nilichukue kwa uchunguzi zaidi, test ya kwanza nimefanya kwenye sumaku na unavutwa na sumaku ninafikiri una Iron content.

Pia nimelipima uzito wake una robo kilo (1/4 kg) Yaani una uzito mkubwa ukilinganisha na miamba mingine yenye umbo sawa na huu ,

Kwa wajuzi zaidi naomba kufahamishwa.

View attachment 1010614

Sent using Jamii Forums mobile app

Mambo yanapokua magumu bana, litupe tu hamna utajiri hapo. Huko mchuchuma na liganga watu wanasugulia miguu.
 
Ni PM nikupe maelekezo
Wakuu hamjambo, nmepita maeneo fulani hivi katika matembezi, nimeona mwamba huu wa rangi kama nyeusi hivi; ikabidi nilichukue kwa uchunguzi zaidi, test ya kwanza nimefanya kwenye sumaku na unavutwa na sumaku ninafikiri una Iron content.

Pia nimelipima uzito wake una robo kilo (1/4 kg) Yaani una uzito mkubwa ukilinganisha na miamba mingine yenye umbo sawa na huu ,

Kwa wajuzi zaidi naomba kufahamishwa.

View attachment 1010614

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hamjambo, nmepita maeneo fulani hivi katika matembezi, nimeona mwamba huu wa rangi kama nyeusi hivi; ikabidi nilichukue kwa uchunguzi zaidi, test ya kwanza nimefanya kwenye sumaku na unavutwa na sumaku ninafikiri una Iron content.

Pia nimelipima uzito wake una robo kilo (1/4 kg) Yaani una uzito mkubwa ukilinganisha na miamba mingine yenye umbo sawa na huu ,

Kwa wajuzi zaidi naomba kufahamishwa.

View attachment 1010614

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee iyo ni ruby
 
ok itabidi niwajulishe wataalamu wa haya mambo! maana hata mazingira yanaonekana kuwa kuna mwamba fulani ambao ni kama sedimendary rock uko exposed due to erosion.
Basi tafuta wachimbaji wazoefu wakusaidie kufanya survey, maeneo hayo au ya jirani ni lazima kuna dhahabu ya alluvial au mwamba wa dhahabu maeneo hayo, au tafuta mtu mwenye metal (gold) detector akusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom