Huu ni msiba kwa WATANZANIA

Kakende

JF-Expert Member
Aug 18, 2012
2,741
1,231
Kuna wawekezaji wametoka brazil ili kuja kuwekeza katika kilimo Tanzania

Hivi watanzania tunaelekea wapi, madini tumeshindwa kuyachimba. Na hata kununua vifaa vya kisasa kulima mashamba makubwa ya umwagiliaji tumeshindwa hadi Serikali ya KIKWETE inakwenda kuwaambia wabrazil waje kutulimia huku?

Hivi kilimo nacho kinahitaji akili nyingi au ni swala la serikali kuwa serious na resource tulizonazo, tuna SOKOINE university na taasisi nyingi za utafiti wa kilimo lakini bado tunashindwa kulima wenyewe hadi tuwe KAMA ZIMBABWE? au Wabrazil wenyewe wanalimiwa na nani?
 
Kuna wawekezaji wametoka brazil ili kuja kuwekeza katika kilimo Tanzania

Hivi watanzania tunaelekea wapi, madini tumeshindwa kuyachimba. Na hata kununua vifaa vya kisasa kulima mashamba makubwa ya umwagiliaji tumeshindwa hadi Serikali ya KIKWETE inakwenda kuwaambia wabrazil waje kutulimia huku? Hivi kilimo nacho kinahitaji akili nyingi au ni swala la serikali kuwa serious na resource tulizonazo, tuna SOKOINE university na taasisi nyingi za utafiti wa kilimo lakini bado tunashindwa kulima wenyewe hadi tuwe KAMA ZIMBABWE? au Wabrazil wenyewe wanalimiwa na nani?

Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya udhaifu wa ccm, NA KWA SABABU YA UDHAIFU WA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE. Hawa mafisadi sijui kwenye vichwa vyao wanawaza taifa la namna gani. kila kitu muwekezaji, itafika mahali tutaletewa wawekezaji hata kwa wake zetu.

SHAME ON YOU CCM. aaaaaarrrrrrrrrgggggggggggghhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!
 
Tusubiri waje na masharti yao km sukari,eti oh ikitokea uhaba wa sukari wanaoruhusiwa kuingiza toka nje ni wenye viwanda na wanapanga bei inayofanana na ya sukari yao,na vyakula vikipungua watapewa wao tenda ya kuingiza vyakula na kuuza kwa bei ya juu.

Pia tutegemee kuzalishiwa mazao ya kisasa yasiyo na ubora tuliouzoea. Tanzania tu inawezekana
 
Tukienda kuomba chakula nje, ni ujamaa, Tukiwaomba waje kulimia huku ni Ubepari?????????????
 
kuna wawekezaji wametoka brazil ili kuja kuwekeza katika kilimo tanzania

hivi watanzania tunaelekea wapi, madini tumeshindwa kuyachimba. Na hata kununua vifaa vya kisasa kulima mashamba makubwa ya umwagiliaji tumeshindwa hadi serikali ya kikwete inakwenda kuwaambia wabrazil waje kutulimia huku? Hivi kilimo nacho kinahitaji akili nyingi au ni swala la serikali kuwa serious na resource tulizonazo, tuna sokoine university na taasisi nyingi za utafiti wa kilimo lakini bado tunashindwa kulima wenyewe hadi tuwe kama zimbabwe? Au wabrazil wenyewe wanalimiwa na nani?

akili ndogo kuongoza akili kubwa mkuu.
 
kuna wawekezaji wametoka brazil ili kuja kuwekeza katika kilimo tanzania

hivi watanzania tunaelekea wapi, madini tumeshindwa kuyachimba. Na hata kununua vifaa vya kisasa kulima mashamba makubwa ya umwagiliaji tumeshindwa hadi serikali ya kikwete inakwenda kuwaambia wabrazil waje kutulimia huku? Hivi kilimo nacho kinahitaji akili nyingi au ni swala la serikali kuwa serious na resource tulizonazo, tuna sokoine university na taasisi nyingi za utafiti wa kilimo lakini bado tunashindwa kulima wenyewe hadi tuwe kama zimbabwe? Au wabrazil wenyewe wanalimiwa na nani?

msiba au neema?
 
Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya udhaifu wa ccm, NA KWA SABABU YA UDHAIFU WA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE. Hawa mafisadi sijui kwenye vichwa vyao wanawaza taifa la namna gani. kila kitu muwekezaji, itafika mahali tutaletewa wawekezaji hata kwa wake zetu. SHAME ON YOU CCM. aaaaaarrrrrrrrrgggggggggggghhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!
SWEEDEN ilikuwa inatuletea 5% ya kipato chake kila mwaka ili tujenge maisha bora ya mtanzania.

Oloph Palme alikuwa kipenzi kikubwa sana kwa TZ matokeo yake viongozi wa chama walihamishia familia zao kuishi sweeden kukaa kule na kuzinyonya fedha hizo bila hata kujenga nchi wala makao makuu dodoma. mtanzania wakati mwingine ni sana na mwana a sishie kwa nyumba ya baba wa kambo.
 
Aiseee baba yangu hao wabrazil watatufundisha na mpira,,kwenya mkataba kipengele icho nacho kiwepo
 
msiba au neema?

Mkuu huu ni msiba mkubwa sana na ni hatari! Kwa kweli simwelewi JK badala ya kuhamasisha wakulima wetu na kuwawezesha anakimbilia kuineemesha Brazil!

Mkapa aliwahi kujuta kuwaita wawekezaji, JK anachekelea msiba! Sijui nani atamwelekeza akamwelewa kuwa hakuna mwekezaji aliye na uchungu na Tanzania, sana sana wataufanya uchumi wetu ukue kwenye "karatasi" huku hali halisi ni kinyume!
 
Mkuu huu ni msiba mkubwa sana na ni hatari! Kwa kweli simwelewi JK badala ya kuhamasisha wakulima wetu na kuwawezesha anakimbilia kuineemesha Brazil! Mkapa aliwahi kujuta kuwaita wawekezaji, JK anachekelea msiba! Sijui nani atamwelekeza akamwelewa kuwa hakuna mwekezaji aliye na uchungu na Tanzania, sana sana wataufanya uchumi wetu ukue kwenye "karatasi" huku hali halisi ni kinyume!

mwenzenu labda sielewi.
Kwni kuwekeza kwenye kilimo manake nini na athari zAke ni zipi. Tafadhari sana msichoke kunielewesha
 
sioni ubaya kama wamekuja kulima pkantations kubwa na kuwaajiri watanzania.

kipi faida mashamba makubwa yabaki wazi au tuwape walime? wanajenga pia na miundombinu pia.

nijuavo hawalimi kupeleka kwako bali wanachozalisha kitatumika katika viwanda vya ndani bakhresa anaagiza mahindi na ngano nje kwani mazao ya ndani hayatoshi kwa hivo wacha alime
viwanda vya ndani vipate mali ghafi na hivo bei za nafaka kupungua
tusikimbilie kulalamika wakati mashamba hayo hatulimi tumeyaacha/ kama ulishafika tabora hadi kigoma kuna pori kubwa sana lenye rutuba lakini liko wazi.
 
sisi tumekuwa wajinga sana iko siku tutaambiwa tuolewe na wageni ndo tutashtukia kumbe tushauzwa.shauri yetu.
 
Back
Top Bottom