Huu ndo mlo kamili kwa wanaume wa mikoani!!

Steven mushi mushi

JF-Expert Member
Jul 25, 2016
533
739
c26d91cbfbf3ab4810039dd5586fd0ce.jpg
 
Wanaokandia ni wale wanaume wa Dar ambao kutwa wanashinda kwa Dr. Mwaka kutafuta watoto(wazee wa chips yai men).
Dadeki mbeleni watabadirika mpaka sauti.
Kama ww ni mwaume wa mkoani tofauti na
Mpeleke mkeo dar umuache kwa muda wa mwezi mmoja uone kama hakusahau ! :) :)
 
Mwanaume au wanaume... Mbona msosi mwingi ivyo??kwan ukiwa mwanaume wa mikoani ndo lazima ule kama punda jike???
 
Huo ndiyo tuliokula sote tukapata akili na si vinginevyo. Wapeni watoto dona na nafaka zisizokobolewa na matunda na mboga kwa wingi na protini. Achaneni na chipis mayai kisasa ni sheeeda.
 
chakula cha forced labour nakipenda sana maana kimenikuza
 
Huo ni ulaji wa kujaza choo tu. hamna lishe hapo. Ooh wa mikoani mikoani kunuka vikwapa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom