Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 739
kinyaa
swissme
Kama ww ni mwaume wa mkoani tofauti naWanaokandia ni wale wanaume wa Dar ambao kutwa wanashinda kwa Dr. Mwaka kutafuta watoto(wazee wa chips yai men).
Dadeki mbeleni watabadirika mpaka sauti.
Dah, natamanije sasa! Siyo mibaga mjini alafu tunawasumbua kina dokta Mwaka eti nguvu za kiume zimepungua.
Hiyo protein inayozalishwa hapo matata sana
inaonekana umewazarau sana wanaume wa darWanaokandia ni wale wanaume wa Dar ambao kutwa wanashinda kwa Dr. Mwaka kutafuta watoto(wazee wa chips yai men).
Dadeki mbeleni watabadirika mpaka sauti.
Aaa wapi!!!!!Hamna lolote mbwembwe tu hizo!Kama ww ni mwaume wa mkoani tofauti na
Mpeleke mkeo dar umuache kwa muda wa mwezi mmoja uone kama hakusahau !
iyo kweli forced labourchakula cha forced labour nakipenda sana maana kimenikuza