Huu ndiyo utamu wa CCM...

ccm = majangili
ccm = majambazi
ccm = mafisadi
ccm = magaidi
ccm = wauza unga
ccm = wauaji
ccm = walipua mabomu

ccm hoyeeeeeeeee!!!!!!

Sent from my blackberry 9780 using jamiiforums

kidumu chama cha mapinduzi...
Zidumu fikira sahihi za m.kiti wetu jk
 
Kama taratibu zimekiukwa wanauwezo wa kukata rufaa na kuzuia zoezi zima lirudiwe upya ni kufuata taratibu za sheria ya zabuni.
wamepata wanasheria watatu ndoo wanashughulika sisi tunasubiri ili tufafanuliwe ni taratibu gani zilitumika kwa Marehemu kuomba kibali na kupewa huku ndugu wa marehemu wakisema hata kibali hawajui ndo nini!
 
Watanzania wanapiga kura kama vipofu halafu baada ya uchaguzi wanaanza kulalama kama vichaa! (Generali Ulimwengu, 2011)
 
CCM = Majangili
CCM = Majambazi
CCM = Mafisadi
CCM = Magaidi
CCM = Wauza Unga
CCM = Wauaji
CCM = Walipua mabomu

CCM hoyeeeeeeeee!!!!!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Kamanda hebu tutajie na maovu yake kama kiongozi hata wa ngazi ya familia yako. Otherwise wewe ni mwanasiasa unaetaka kutoka kupitia shida za watanzania ila haujaona jinsi ispokuwa hii.
 
ngoja niendelee kummomba mwanasheria wao anipe japo nipige picha kwenye jina bro Chris LUKOSI
laigwenan

Tafadhali fanya haraka, halafu huko Iringa hivi hakuna wanaharakati?
Hovi hakuna chama kingine huko? maana naona CHADEMA kazi imewashinda ya kuwahamsha watu.
 
Last edited by a moderator:


Heyyy CHAMA cha JENGA NCHI.
 
Hahahaaaa.. naona juhudi za Chris Lukosi humu jamvini zimeanza kuzaa matunda.. hii ndo Tanzania ya ccm... hongera Chris Lukosi...

njaa ndio ilipeleka CCM!
unadhani anakesha jf bure na Laiti ungeyajua majina halisi ya SIMIYU YETU,RITZ,SHELUI....alafu uambiwe ufisadi wao ungeshangaa
 
Last edited by a moderator:
Hii mijitu ya huko akili zao utadhani ni wanyama wanaoliwa! Wacha CCM wawatie adabu wataenda kujifunza makaburini kwao huko. Ukiyaambia msiichague ccm na kuyaeleza mabaya yoote ya ccm, lakini yanadanganyika kirahisi mno kwa khanga, T-shirt na kofia. Sasa yaacheni yavune yalichopanda, yanalalamika kitu gani? Yatulie tu yanyolewe.
 
KAMA kweliupo kwenye madini MAFUTA UJENZI MALORI MABENK UNA HISA KILA MAHALI NI MWANASHERIA HAKIKA NIMEAMINI HATA JENGO LILILOPO ARUSHA ULILOAMUA KJENGA NYUMBA YA KUISHI JUU YA GHOROFA KUMI NI LAKO HUGO PLAZA BADO KODI YA MABANGO YOTE TZ
NITATAINUA MACHO YANGU
 
Hiyo ndo inayoitwa ccm na viongozi wake
 
Jamani mnisamehe nilisoma vibaya siyo chris lukosi ni christopher lukosi mkazi wa dar-es-salaam
 
JAMANI jamani jamani msitufanyie hivyo wameshajifunza kwa makosa na hawata rudia ki ukweli hali ni mbaya na hawa bebeki pia hawana shukrani
 

Ukila chakula kibovu ukalisha,utaenda kukishitaki chakula hicho mahakamani?...dawa ni kuacha kukila, wasiichague ccm tena...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…