Huu ndiyo muonekano wa kijana wangu

Hii inasikitisha pia ina huzunisha Sky Eclat

Kila familia ina changamoto zake kubwa km unajitambua ni suala la kumshukuru Mungu kwa kweli.

Familia duni zinateseka na mazingira magumu ya ukataji miti kwa shoka ili kuchoma mkaa.
Familia zenye kipato zinalia kwa watoto wao wa kiume kupenda starehe za kike.

Dada hakuna mtoto wa binadamu aliyezaliwa na akatembea moja kwa moja. Kuna sehemu ulijikwaa eidha wewe au Shemeji kaka.

Pole Sana
 
Wazazi tuna kazi sana,unamlea mtoto wako kwa maadili mazuri kabisa,lakini anafikia umri akishajiona amekuwa anaanza tabia ambazo ni tofauti na wewe ulivyotarajia awe,yaani inaumiza sana,ni kuendelea kumuombea Mungu ili abadilike kwani nina uhakika kabisa kuwa sio peke yako Sky Eclat unaekutana na kadhia kama hizi...
 
Pole kwa unayopitia dada yangu,najua inavyouma mtoto kwenda nje ya mategemeo au matamanio yako.

Mimi nimekaa na vijana shuleni wakati nasoma pia mtaani yaani wametoka familia nzuri kabisa Baba na mama zao wana regular jobs na kwenye jamii wana good status ila vijana wanakuwa hawaendani na vile wazazi wao wanataka.Ila vyanzo vya wao kuwa hivyo ni;


(I) Wazazi hawapo karibu na makuzi ya watoto,mtoto wako hata akiwa chuo kikuu mtembelee mara kwa mara uone anaendeleaje,hii itamsaidia ku appear decent infront of you na umkabidhi kwa mwalimu mmoja wa kukuangalizia mara moja moja.

(II) Mazingira,mtoto akitoka likizo aje nyumbani aone jamii inavyoishi na jinsi jamii inavyomtaka awe,shuleni kuna hallucinations za ajabu no reality.

(III) Hofu ya Mungu,kama utaweza mwanao huko alipo mtambulishe kanisani na kwa mtumishi either mchunganji na awe na urafiki na huyo mtumishi mfano pesa waweza ziacha kwa mtumishi watazoeana na atakuwa mtoto mzuri.

(Iv) Mtoto wa kiume awe karibu na baba ake ili amfundishe mambo ya kiume na usimamizi wa miradi au familia.
 
Pole kwa unayopitia dada yangu,najua inavyouma mtoto kwenda nje ya mategemeo au matamanio yako.

Mimi nimekaa na vijana shuleni wakati nasoma pia mtaani yaani wametoka familia nzuri kabisa Baba na mama zao wana regular jobs na kwenye jamii wana good status ila vijana wanakuwa hawaendani na vile wazazi wao wanataka.Ila vyanzo vya wao kuwa hivyo ni;


(I) Wazazi hawapo karibu na makuzi ya watoto,mtoto wako hata akiwa chuo kikuu mtembelee mara kwa mara uone anaendeleaje,hii itamsaidia ku appear decent infront of you na umkabidhi kwa mwalimu mmoja wa kukuangalizia mara moja moja.

(II) Mazingira,mtoto akitoka likizo aje nyumbani aone jamii inavyoishi na jinsi jamii inavyomtaka awe,shuleni kuna hallucinations za ajabu no reality.

(III) Hofu ya Mungu,kama utaweza mwanao huko alipo mtambulishe kanisani na kwa mtumishi either mchunganji na awe na urafiki na huyo mtumishi mfano pesa waweza ziacha kwa mtumishi watazoeana na atakuwa mtoto mzuri.

(Iv) Mtoto wa kiume awe karibu na baba ake ili amfundishe mambo ya kiume na usimamizi wa miradi au familia.
U karibu na baba yake wako karibu sana, tatizo lilitokea tulimpeleka boarding akiwa na miaka 10 huu ndiyo muda tulikuwa mbali nae.
Tulistuka tuliposikia Jumapili watoto wanaulizwa wanaotaka kwenda kanisani. Mtoto wa miaka 10-12 utamuuliza kama anataka kwenda kanisani! Ndipo tulimtoa baada ya kumaliza mitihani ya kidato cha nne.
 
Back
Top Bottom