Kitila mkumbo wewe ni mchumia tumbo na mganga njaa...huna udokta wowote, wewe ni dokta fake!Uwongo na uzushi ndio silaha ya wajinga duniani kote. Fanyeni kazi ya kujenga chama chenu. Acheni kujitungia uwongo na kuzusha mambo. Hatuna muda huo wa kijinga. Nchi hii ni nchi huru yenye kufuata mfumo wa vyama vingi, hakuna namna unayoweza kulazimisha mtu kupenda au kuchukia chama chako au cha mtu mwingine.
Kitila mkumbo wewe ni mchumia tumbo na mganga njaa...huna udokta wowote, wewe ni dokta fake!
Unauza utu wako sababu ya pesa? Kweli?
Nimekudharau sana...unatia kinyaa na kichefu chefu.
ubinadamu bora ni kulinda heshima na kuwa na misimamo thabiti Dr Kitila mkumbo plz rudi ktk taaluma kwani ni HESHIMA zaidi//
Lakini mkuu Molemo ktk shutuma zote zilizoelezwa na hao mnaowaita wasariti wa chama, tukisema ule ukweli na bila owoga yapi ya kweli na yapi si kweli?!.
Vizur hicho chama kingeitwa wasaliti party
Ila CDM nimewakubali kwa jinsi intelligency inavyofanya kazi!! Narudia, CDM mko juu kwa kweli hamna mchezo kwenye mambo ya kitaifa!!
Nasema hivi kwasababu, taarifa niliyoipata mda mfupi uliopita inashangaza sana!! Sitaiweka hapa ili nisiharibu mipango ya watu ila ni suala la mda tu CCM kupitia ACT-Tanzania itaumbuka vibaya na kila mtu atanyoosha mikono kwa CDM!!
Hakika cdm wako makini kuliko nilivyodhani!!
Unaongelea nguvu ipi ya act? Hii ya lumumba na mawakala wake?Tuna-deal na bwana wa act ambaye ni ccm!
ile sumu anayotembea nayo ben saanane aliyopewa na dr.slaa kwa ajili ya kumlisha zito bado ipo mkuu?
Wasaliti watazidi kuumbuka siku hadi siku,Muvi ya ugaidi ilibuma wakaja na matamko part 1 na sasa yameanza part 2 ambayo nayo yatabuma tu.Chezea CDM weye!!!???
Shikamoo Mwl; Dr nimejikuta nasikitika kwa comment yako. Weight uliyonayo sioni kama unalingana na ulingo ulioingia mwl. Usiwe na hasira mwl wangu.
Haufanani na ACT Dr, nimekumbk semina na lect zako Dr. Dah; maisha yanabadilika yatupasa kusali saana kwa kweli.
Kitila mkumbo wewe ni mchumia tumbo na mganga njaa...huna udokta wowote, wewe ni dokta fake!
Unauza utu wako sababu ya pesa? Kweli?
Nimekudharau sana...unatia kinyaa na kichefu chefu.
Zitto arudishe zile fedha za NSSF kwanza, mikono yake siyo misafi hata kidogo...atapata shida sana
Huyu ni Lecturer wangu, ila kwa sasa siwezi kusimama mbele za watu na kusema huyu ni mwalimu wangu, anatia kinyaa, jinga sana.
Dr don't you think it's high time kuachana na hizi Siasa uchwara na kujikita kwenye taaluma na utafiti?? You have other ways to use your education wisely than these political issues.
Huyo Dr ni mganga njaa tu kwanza anajishusha sana alafu ajitambui inshort ni ubongo matope kichwa maji . Poor Dr.
Daah aisee hawa jamaa ni mazuzu sana..Jana nikuwa napita maeneo ya ofisi za msajili nkamuona Mchange jasho linamtoka akiwa na wenzake.
Kutumika kubaya aisee..
Lakini mkuu Molemo ktk shutuma zote zilizoelezwa na hao mnaowaita wasariti wa chama, tukisema ule ukweli na bila owoga yapi ya kweli na yapi si kweli?!.
Tangu alipokubali kununuliwa kwa vilaki viwili kila mwezi na Zitto wa ACT, thamani yake kwa watu wenye akili imedrop kwa kasi ya ajabu! Elimu yake ni kama tope tu