Huu ndiyo mkakati mzima wa CCM kuidhoofisha CHADEMA...

Kitila mkumbo wewe ni mchumia tumbo na mganga njaa...huna udokta wowote, wewe ni dokta fake!
Unauza utu wako sababu ya pesa? Kweli?
Nimekudharau sana...unatia kinyaa na kichefu chefu.
 
ubinadamu bora ni kulinda heshima na kuwa na misimamo thabiti Dr Kitila mkumbo plz rudi ktk taaluma kwani ni HESHIMA zaidi//
 
Last edited by a moderator:
Kitila mkumbo wewe ni mchumia tumbo na mganga njaa...huna udokta wowote, wewe ni dokta fake!
Unauza utu wako sababu ya pesa? Kweli?
Nimekudharau sana...unatia kinyaa na kichefu chefu.

Aisee...Kumbe wengi wamekasirishwa na vitendo vyake viovu
 
Lakini mkuu Molemo ktk shutuma zote zilizoelezwa na hao mnaowaita wasariti wa chama, tukisema ule ukweli na bila owoga yapi ya kweli na yapi si kweli?!.

Ya ukweli ni kwamba hao ni vibaraka waasi wachumia Tumbo.Waliouza utu wao kwa vipande 30 vya Fedha.
 
Last edited by a moderator:

Mkuu subiri utashuhudia makuu zaidi.Hakuna Saliti atakayebaki salama.

Kila wasaliti watatu watakapokutana kufanya mipango miovu dhidi ya upinzani ujue mmoja wao ni mtoa siri wetu.

Hata wakifanyia vikao mvunguni mwa kitanda lakini kesho yake ushetani wao wote utaanikwa peupe.
 
Wasaliti watazidi kuumbuka siku hadi siku,Muvi ya ugaidi ilibuma wakaja na matamko part 1 na sasa yameanza part 2 ambayo nayo yatabuma tu.Chezea CDM weye!!!???

Matamko yanaandaliwa Lumumba wanapewa na hela ili wakayasome.Ama kweli njaa ni kitu kibaya sana!
 

Hakika umempa mawaidha mazuri sana.Asante sana!
 
Kitila mkumbo wewe ni mchumia tumbo na mganga njaa...huna udokta wowote, wewe ni dokta fake!
Unauza utu wako sababu ya pesa? Kweli?
Nimekudharau sana...unatia kinyaa na kichefu chefu.

Huyu ni Lecturer wangu, ila kwa sasa siwezi kusimama mbele za watu na kusema huyu ni mwalimu wangu, anatia kinyaa, jinga sana.
 
Huyu ni Lecturer wangu, ila kwa sasa siwezi kusimama mbele za watu na kusema huyu ni mwalimu wangu, anatia kinyaa, jinga sana.

Duh..!! Inasikitisha sana kwakweli.Tumuombe Mungu sana jamani hizi roho za Ibilisi zituepuke.
 
Dr don't you think it's high time kuachana na hizi Siasa uchwara na kujikita kwenye taaluma na utafiti?? You have other ways to use your education wisely than these political issues.

Naona watu wengi mmeweka siasa pembeni na kumpa Dr Kitila ushauri wa kumsaidia yeye na Familia yake.

Ni vigumu sana kuangamiza upinzani nchini kama anavyotamani iwe.Nyakati hizi ni zama nyingine kabisa.
 
Daah aisee hawa jamaa ni mazuzu sana..Jana nikuwa napita maeneo ya ofisi za msajili nkamuona Mchange jasho linamtoka akiwa na wenzake.
Kutumika kubaya aisee..
 
Huyo Dr ni mganga njaa tu kwanza anajishusha sana alafu ajitambui inshort ni ubongo matope kichwa maji . Poor Dr.

Kusaliti mageuzi ni gharama kubwa sana.Mungu amjalie ajitambue na arudi kwenye mstari.
 
Daah aisee hawa jamaa ni mazuzu sana..Jana nikuwa napita maeneo ya ofisi za msajili nkamuona Mchange jasho linamtoka akiwa na wenzake.
Kutumika kubaya aisee..

Yule Mchange aliyedraw zile hela za NSSF? Huyu si ndiye mratibu wa ACT kanda ya Pwani? Naye bado anajiita Chadema? Ama kweli njaa mbaya sana.
 
Lakini mkuu Molemo ktk shutuma zote zilizoelezwa na hao mnaowaita wasariti wa chama, tukisema ule ukweli na bila owoga yapi ya kweli na yapi si kweli?!.

Na wewe unataka kutuletea ujinga kama vile mgeni wa siasa za nchi hii! Bila woga jitahidi kusearch humu jf utapata threads nyingi zenye ushahidi wa hicho unachokiuliza.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…