HARRISON ONE
Member
- Jan 8, 2014
- 42
- 30
Toka juzi majira ya saa kumi jioni Mtandao wa vodacom mpesa umekuwa haupatikani na hata ikitokea umebahatika kupata menyu ya mpesa bado ilikuwa ni vigumu kutoa au hata kuweka fedha kama ambavyo imezoeleka!! vodacom mpesa kwa makusudi kabisa wakijua kuwa mtandao wao una matatizo bado waliendelea kukata fedha za walalahoi ambao wamekuwa wakijaribu kuingia katika mtandao huo,kwa kutaka kuuliza salio,au hata kujaribu kutuma au kutoa fedha!!sasa kwa hali ya kawaida hii ni haki??mtu kutokupata huduma anayoihitaji but still unamkata fedha!!Mamlaka ya mawasiliano Tanzania,mnaliona hili?