BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,946
Asante dada, nimekuelewa tangu mwanzo, unajua sisi wengine huwa hatufanyi vitu kwa mkumbo. Sikuwa naweza kujimudu, ningewezaje kummudu mwenzangu au ndio mwanzo kuanza kuropokwa upumbavu ili hali mimi ndiye mwenye matatizo.Nilimanisha km 97unakumbukimbu hizo lazima utakuwa ulikua na miaka km5-7..ss toka hpo had leo ni vimiaka vimepitaš¤!all the best mkuu!