Mwamaleki
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 696
- 2,956
Sjaelewa kwanini umeni quoteNaomba niwakumbushe waliosahau au vijana wadogo wasiojua, kuwa
John Samwel Malecela alikuwa mmoja ya watu wenye heshima sana Jumuia ya Madola, na hakuwahi kulewa sifa kama huyo boya wenu Mende.
Kama si Nyerere John Sigweyemisi angekuwa Presidaa.
Ni mmoja kati ya watu mahiri kutokea Tanzania. Binafsi namkubali sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app