Huu Ndio Uzuri wa Kikwete!

Huu Ndio Uzuri wa Kikwete!

Filipo Lubua

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2011
Posts
339
Reaction score
579
Eti Rais anatembea kwa kufanya mazoezi na inakuwa habari ya kutolewa magazetini na runingani! Yaani tunashangaa Rais kutembea, utadhani yeye ni malaika ambaye kwonekana ardhini ni maajabu! Eti kutembea! Kutembea?


  1. Ni Watanzania wangapi hutembea kila siku umbali mrefu kwenda kutafuta maji?
  2. Ni Watanzania wangapi hutembea umbali mrefu wakiwa wamebeba mizigo mizito vichwani wakienda sokoni, magulioni na mashambani?
  3. Ni vijana wangapi wahitimu wa vyuo watembeao kila siku kutwa wakiingia ofisi hii na ile kutafuta kazi?
  4. Ni Watanzania wangapi watembeao...........? (Ongeza mengine mwenyewe sasa)
 
mkuu watanzania wengi ni maamuma...
 
hahahaha, umenichekesha sana, ni sawa sawa na ile ya kinana kula mahindi ya kuchemsha na nape. Eti wanajenga chama, kumbe ni per diem tu
 
hahahaha, umenichekesha sana, ni sawa sawa na ile ya kinana kula mahindi ya kuchemsha na nape. Eti wanajenga chama, kumbe ni per diem tu
Ndo hivyo eti wanakula mahindi kama hayo na wanapongezwa, wakati wapo wanaoyala kila siku kwa sababu hawana mlo mwingine
 
Eti Rais anatembea kwa kufanya mazoezi na inakuwa habari ya kutolewa magazetini na runingani! Yaani tunashangaa Rais kutembea, utadhani yeye ni malaika ambaye kwonekana ardhini ni maajabu! Eti kutembea! Kutembea?


  1. Ni Watanzania wangapi hutembea kila siku umbali mrefu kwenda kutafuta maji?
  2. Ni Watanzania wangapi hutembea umbali mrefu wakiwa wamebeba mizigo mizito vichwani wakienda sokoni, magulioni na mashambani?
  3. Ni vijana wangapi wahitimu wa vyuo watembeao kila siku kutwa wakiingia ofisi hii na ile kutafuta kazi?
  4. Ni Watanzania wangapi watembeao...........? (Ongeza mengine mwenyewe sasa)

Tatizo na RAIS naye anapenda sana kuandikwa MAGAZETINI,huyu yawezekana anatafuta POPULARITY kwenye magazeti hana tofauti na WASANII wanaoutafuta USTAA kwa kufanya SKENDO
 
Eti Rais anatembea kwa kufanya mazoezi na inakuwa habari ya kutolewa magazetini na runingani! Yaani tunashangaa Rais kutembea, utadhani yeye ni malaika ambaye kwonekana ardhini ni maajabu! Eti kutembea! Kutembea?


  1. Ni Watanzania wangapi hutembea kila siku umbali mrefu kwenda kutafuta maji?
  2. Ni Watanzania wangapi hutembea umbali mrefu wakiwa wamebeba mizigo mizito vichwani wakienda sokoni, magulioni na mashambani?
  3. Ni vijana wangapi wahitimu wa vyuo watembeao kila siku kutwa wakiingia ofisi hii na ile kutafuta kazi?
  4. Ni Watanzania wangapi watembeao...........? (Ongeza mengine mwenyewe sasa)

Ndg@Filipo Lubua umesahau kuwa Rais wako ni Mzaramo???
 
Back
Top Bottom